Nachokitafuta nitakipata

Nachokitafuta nitakipata

Nawasalimu wana jf Mu wazima humu.

Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina.

Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe.
NB ahsanteni kwa kunisikiliza

Usisahau kuleta updates ya utakavyokutana navyo
 
Sawa ila jitaidi utakacho kipata ukimalize mwenyewe, usije kutuomba tena ushauri humu
 
Nawasalimu wana jf Mu wazima humu.

Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina.

Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe.
NB ahsanteni kwa kunisikiliza
Vipi kuhusu yeye pia akiwa na mpango huo huo wa kudukua simu yako,itakuwa salama tuu ?
 
Nawasalimu wana jf Mu wazima humu.

Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina.

Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe.
NB ahsanteni kwa kunisikiliza
Huyo mtu alishakuacha siku nyingi sana na sasa hivi ana mpenzi mwingine sasa unachokitafuta ni nini tena broo ?

Mtu ameshakuacha bado unamngangania tuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom