kijanamakini
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 116
- 13
I support this view...unapenda sana mabint wa clasr fulani ambao kwa bahati mbaya wameshalipiwa. Tafuta wa kawaida ndugu
Tafuta another type of girls....ikishindikina kimbilia *loliondo*! :lol:
I support this view...unapenda sana mabint wa clasr fulani ambao kwa bahati mbaya wameshalipiwa. Tafuta wa kawaida ndugu
Engineer nakushauri ukaoge maji ya bahari au kutawazia maji ya ukoko wa ugali au kutawazia tui la nazi naona wewe una mikosi inakuandama kwenye mapenzi
I support this view...
Tafuta another type of girls....ikishindikina kimbilia *loliondo*! :lol:
Sikumwelewa, kesho yake kaja kwangu na kuanza maneno maneno mengi na makali sana, heti sina adabu, kila mara natafuta mademu wake.
Angalia nilipopiga mstari. Hapa nina wasiwasi na huyo rafiki yako. Inaonesha hata kwa hawa wasichana wawili wa kabla chanzo kilikuwa yeye. Yeye ndiye aliyekupa hiyo stori ya mchumba wako wa kwanza kutembea na waziri na ndiye aliyekupigia simu kukutishia kifo. Baada ya kumweleza dhamiri yako kwa huyu wa tatu ndio akaamua kukukabili moja kwa moja. Chunga sana na huo urafiki wenu.