Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,481
- 33,309
Angesema hivyo kuhusu upinzani angeambiwa anachanganya dini na siasa na kufutiwa usajili kanisa lakeHuyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780