Uchaguzi 2020 Nabii Mkuu Geo Davie: Mchagueni Magufuli, acheni ushabiki

Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780
Angesema hivyo kuhusu upinzani angeambiwa anachanganya dini na siasa na kufutiwa usajili kanisa lake
 
Najua kuna watu wanasubiri mawaidha ya Dr. Munga, shoo na wengineo wa aina hiyo.
 
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780
Huyu nabii wakina yezebeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780
Kama tuache ushabiki wa vyama hili la kura tumpe Magufuli limetoka wapi? USITUPANGIE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780
Huyo anawa brainwash waumini, ana mungu wake anaitwa mungu geodavid, redio yake masaa yote ni kutangaza mpesa wafungue mikono ya nabii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780
Haya maelezo angetoa shekhe mngesema kachanganya siasa na dini ila kasema mbuzi katoliki mwenzenu...mmevaa miwani ya mbao walichofanya sahv mashekhe siasa tumewachia nyny..mnazingua tu mara waraka wa pasaka hujakaa sawa mara sijui TEC sijui mnawashwa na nini?
 
Hivi vyeo vya unabii wanapewa na nani, na katika mazingira gani. Engineer, Doctors, scientists nk.., huwa kabla hawaja pewa shahada hizo lazima wakasome vyuo vinavyojulikana, watasoma masomo kwa muda maalumu, na watafanya mitihani, na kufuatana na ushindi wao ndivyo watakavyo pata shahada zao. Christian theologians wanatakiwa kupitia njia muhimu zilzowekwa na makanisa, lakini kuna hawa matapeli, na 10% BANDITS, inahitajika watu wakawa macho, na kutowatukuza. Dini hainunuliwi kwa pesa, mungu ni mtoaji sio muombaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom