grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Huyo ni mtume na Nabii Maarufu sana mjini Arusha, kwa sasa amefungua tawi lake DSM viwanja vya Tanganyika Packers kando tu ya kanisa lingine la Ufufuo, kanisa likijulikana kama Ngurumo ya Upako.He GEODAVIE ndiyo nani tena?