Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Acha kumuhukumu mtu, kila mtu anayake kabeba moyoni, nivema mtu kujisafisha nafsi yako kuliko kumwona mwingine mdhambi.

Tumeambiwa tuzichunguze roho maana zingine ni zakishetani na wala hakuna dhambi kuzichunguza. Matendo ya huyu hayaakisi kama ni nabii wa Mungu
 


Ndio maana watu wengi wanakata tamaa na dini. Sasa wewe na uchafu wote unaoandika hapa forum eti unasali kwa nabii halafu tena amekusaidia? Basi atakuwa ni Lusifa mwenyewe na wewe ni ibilisi
 

gentamycine
 
Last edited by a moderator:

Ameolewa?
 
Mungu akaona vyote alivyoumba kuwa ni vyema.

Kajikoboa kwa vile Mungu alikosea kumpa ngozi nyeusi?

Hiyo picha nilifikiri ni jini kumbe mtu tena nabii mke!

Toa uhakika kama amejikoboa,

Wew unamfahamu tangu mdogo kwamba anarangi gani au mnaongea tu??
 
....... “Akawatolea mfano mwingine, akisema, ufalme wa mbinguni umefanana
na mtu aliyepanda mbegu njema katika konde lake; lakini watu
walipolala akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano,
akaenda zake. Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa,
yakaonekana na magugu. Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda
wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako?
Limepata wapi basi magugu? Akawaambia adui ndiye aliyetenda hivi.
Watumwa wakamwambia, basi wataka twende tuyakusanye? Akasema la;
msije mkakusanya magugu na kuzing’oa ngano pamoja nayo. Viacheni
vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia
wavunao, yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita
mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu.” (Math.13:24-30)



Tafakari ya leo usiku wapendwa.


Usiku mwemani.
 
Ziada.
Usimdiscuss mtumishi wa Mungu. Hata kama anakosea kumbuka Miriam na nduguze walifanywa nini kwa kumsema mtumishi wa Mungu. Mungu ana makusudi kuacha magugu na mbegu njema kuota pamoja.
 
Wajinga ndiyo waliwao,Mungu hakua mjinga kutompa mwanamke unabii,hawa wa siku hizi sijui mtajibu nini siku ya kiama
GENTAMYCINE
 
Last edited by a moderator:

Ziada.
Usimdiscuss mtumishi wa Mungu. Hata kama anakosea kumbuka Miriam na nduguze walifanywa nini kwa kumsema mtumishi wa Mungu. Mungu ana makusudi kuacha magugu na mbegu njema kuota pamoja.

Huyu si mtumishi wa Mungu kwa hakika bali ni mtumishi wa kuzimu aliyejivika kasha la unabii wa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…