Yesu hakuwa mkristo, yesu alikuwa na mamboyake ya kumtukuza mungu kufundisha watu waishishe na mungu kwa ujumla alikuja ili tumjue mungu wa kweli yeye ndiye aliitwa kristo so kwa wale walomfuata waliitwa wafuasi wake yani wa kristo.yesu hakua na dhehebu, alikua mkristo alie kamili
Yesu yeye ndie Kristo Na si mkritoyesu hakua na dhehebu, alikua mkristo alie kamili
Kweli ukristo si Dini, sisi wakristo tunajua hilo Na kwamba Dini haina msaada wowote kwa mwanadamYesu hakuwa mkristo kwasababu kristo si dini,bali alkuwa muislam
Genta ya kweli hayaNinamjua Huyo MTUMISHI Wa Mungu Tokea Akiwa Kigamboni, Kisha Kwa Mzee Willy Pale Mbezi Beach Maguruwe Na Mpaka Alipoanzisha Kanisa Lake Salasala.
NINAMKUBALI 100% Kwani MAFANIKIO Yake KIMAOMBI Ni MAKUBWA Na Hayaelezeki Na Tokea NIMFAHAMU Sijawahi Kuona Mtu AKIENDA KWAKE NA ASIFANIKIWE. Lakini Pia TUSISAHAU Kuwa Dini Pia Ni IMANI Ya MTU Na Jinsi UNAVYOJIACHIA Kwa Mwenyezi Mungu au Yesu Kristo.
Kwa Mfano UNAKUTA MTU ANAENDA KUOMBEWA LABDA APATE MUME NA MTUMISHI WA MUNGU AKIMWOMBEA NA KUMTAKA AACHANE NA UMALAYA YEYE AKIRUDI TU KITAA MWENDO NI MDUNDO KWA WAUME ZA WATU Je Hapo UNATEGEMEA NINI MKUU?
Nabii Flora Peter Ni MTUMISHI Wangu Na Namkubali Hadi Sijui Nisemeje Na Nahisi Nina DENI La Kumlipa Kwa Maombi Yake Ya UHAKIKA Kwangu Na Jinsi Mambo Yangu Yanavyozidi KUNYOOKA.
Najisikia Mwenye Furaha Mno KUSALI Kwa Nabii Flora Peter Na Nichukue Nafasi Hii Murua Kuwakaribisheni Na Wengine Wote Ambao Mna IMANI HABA. Mtasikia Mengi Na Mtadanganyana Sana ILA Ushuhuda Wa Maombi Ya Nabii Flora Peter HAUELEZEKI.
Namalizia Kwa Kusema " Kwa Msaada Wa Mungu Tutatenda Makuu Kwa Maana Bwana Atawakanyaga Watesi Wetu Zaburi 60:12 Na 108:13 ".
Ya kweli haya au kiini machoNabii Frola Peter anatenda asee!...kuna siku nakumbuka tuko kanisani kwake aliombea maji ya uhai yakawa asali tamuu...
Genta ya kweli haya
Hahahahahaha samahani mkuu wangu "ulietukuka"Mkuu mbona unaanza ' Kufukua ' Makaburi tena? Umetumwa?
Hahahahahaha samahani mkuu wangu "ulietukuka"
Niliona kuna Uzi humu ndani unazurura sana sasa nika google nikakutana na huu na nikastaajabu sio kwa ubaya namna unayompa sofa za kutukuka nabii flora mama yako wa kiroho .
I hope bado unasali kwake
Sawa muheshimiwaHayakuhusu! Halafu acha ' Kunizingua ' sawa? Nadhani unanijua vizuri sana zikininyofoka ' Kichwani ' mwangu.
Kama sio jini basi kahaba msaka tongeSiyo jini hili?
Na wewe acha kutisha tisha watu..ebo!Hayakuhusu! Halafu acha ' Kunizingua ' sawa? Nadhani unanijua vizuri sana zikininyofoka ' Kichwani ' mwangu.
Apo sasaHuyu nabii au shangingi la mjini??!!
Atakua sister ake naonaHuyu ni Michael Jackson au macho yangu mabovu?
Hivi Yesu pamoja na kupata majaribu yooote hayo alibadiri dini na kuokoka? naomba nijibiwe tafadhari.
Wafundisheni watu amri kumi za Mungu na ile kuu, mengine ni mbwembwe. Nimeona walokole wengi ni wafitini, wana visasi na wabinafsi sana ...ukizishika amri kumi wewe umeokoka mauti tayariyesu hakua na dhehebu, alikua mkristo alie kamili
Ndio huyo nduguMungu wangu..! Ndio huyu nabii mwenyewe?
Hahaha mkuu yeye mwenyew ndio kristo sasa alikuwaje mkristo tenAyesu hakua na dhehebu, alikua mkristo alie kamili