msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,827
- 1,729
Hapa ndio ilipo tofauti kati ya dini yangu na za wengine, sikatai unaweza kuta ustadhi kafanya ufedhuli hatukatai, ila ni aghlab na sidhani kama atathubutu kusema amefunuliwa sijui na roho sijui nini hawezi thubutu .... MTU fedhuli anatumia jina la dini na wenye dini kimyaaa as if yuko sahihi ....kul wahed