Nabaguliwa kisa dini na kabila

Nabaguliwa kisa dini na kabila

Shida yako hujitambui, na hiyo ndio sifa kubwa ya FOOLISH AGE. Hebu angalia hii statement yako

sina uhakika kama nitakuja kupenda tena, ni ubaguzi ... ubaguzi tu:shut-mouth:


Haya ni maneno ya watoto. Mwanaume haishi kwa ridhaa ya moyo wa mwanamke. Bado hujakua, unausikilizia uchi kiasi kwamba unaamini huwezi kuishi bila huyo mwanamke. Kinachokuathiri ni upweke-moyo wa kitoto na sio mapenzi.

Ungekuwa umekomaa, usingesikitika kwa ndugu wa huyo mwanamke kukubagua, bali ungeshukuru kuwa umepata fursa ya kuwabaini mapema kabla hujaingia kwenye mahusiano.

Cha pili, utoto wako umeshindwa kukupa nafasi ya kubaini kuwa; mwanamke anayekuwa twisted na mawazo ya familia yake hafai kuwa mke.

Sasa we rukaruka na kejeli ukadhani mi umri wako, mi najua madogo huwa wanawaza nini na ndio maana umeanza kusema eti baada ya miezi sita umezama kwa mchaga, nini hiyo kama sio balehe?

thanks kwa ushauri wako
 
Back
Top Bottom