MANYUKA the junior
New Member
- Dec 19, 2011
- 4
- 1
Ndugu wadau naomba ushaur wenu,nna mtaj wa sh 1ml nataka kuanzisha biashara ,je n biashara gan inanfaa?nakwamba itawah kunpatia faida kubwa kwa wakat mfupi?ASANTEN
Ndugu wadau naomba ushaur wenu,nna mtaj wa sh 1ml nataka kuanzisha biashara ,je n biashara gan inanfaa?nakwamba itawah kunpatia faida kubwa kwa wakat mfupi?ASANTEN
Wee ni mtu wa jinsia gani? ushauri wangu utategemea sana na jinsia yako