X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,691
- 12,273
mkuu, pole sana sasa kwanini na wewe ulimbwatukia hali yakuwa unajijua huwezi kukaa pasipo kuwasiliana nae? hiyo ndio tabu mnayoipata wenye wapenzi mmoja...ebu angalia kila kilichopo mwilini mwako vipo viwili na vingine ili vifanye kazi kuna muunganiko wa zaidi ya viungo viwili yanini kujitia mawazo kwa kum'bembeleza msichana ambaye hukuzaliwa nae tumbo moja...kama kauchuna chukua mke mwenzie akufute machozi...