Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,791
- 4,878
Muonyeshe pesa
yap[emoji4] [emoji4]
Acha kumponza mwenzioUnaanzaje kupata headache kwa sababu ya kununiwa????
Mueleze what happened piga kimya....
Akizingua mtafutie mwenzake
Mwanaume msimamo ehh..we kausha ikifika siku 4 ndo itakuwa njia ya kuachana jumla, mie ilikuwa kama utani tukakaa kimya wote huu mwaka wa 2 na alisha olewa ila bado tumekaziana hakuna cha salamu wala nini?
Implying...........?????Kaa kimya hivyo hivyo atajirudi..
Hapo mnuno lazima uishemtumie m-pesa
Acha kumponza mwenzio
Hapo mnuno lazima uishe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aweke picha ya nani/nini mkuu!weka picha
demu anayenuna[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aweke picha ya nani/nini mkuu!
hahahahaha ni noma mkuu, mambo ya kulegea nae anakuona anakumudu kila siku vitukoMwanaume msimamo ehh..
Implying...........?????
kwani ukimtangazia ndoa ndo unampata?mtangazie ndoa
ha ha ha hii inaitwa dawa ya jeuri ni kiburiwe kausha ikifika siku 4 ndo itakuwa njia ya kuachana jumla, mie ilikuwa kama utani tukakaa kimya wote huu mwaka wa 2 na alisha olewa ila bado tumekaziana hakuna cha salamu wala nini?