Naanzaje kumsemesha mpenzi aliyeninunia?

tang'ana

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
11,809
15,059
Hello jf.
Jana nilikua zangu nacheck game ya man u vs middlesbrough,huyu shemeji/wifi yenu akawa ananipigia,asa kutokana na kelele zilizokua mahali pale sikuweza kumsikia vizuri akakata simu yake,asa game ilvyoisha ikabidi nimpigie kujua alikua anasema nin muda ule ila suprisingly akawa eti kaninunia basi na me nkamuongezea kwa kummbwatukia nkamwambia sipendi kununiwa kwa ishu za kipuuzi maana ye kwa akili yake alihisi nilikua na manzi mwingine,so tangu jana mpaka sasa hakuna aliyekwisha mtafuta mwenzie.
Hapa me tayari nishammiss,lakini naomba kushauriwa gia gani ya kumuingia huyu mtu wakuu ili asione kama nimejipendekeza kumtafuta akavimba bichwa.
 
mwambie aje akutembelee home ka atakubal mweleze ukwel pia unatakiwa umsome mpenz wako anapenda nn na anachukia nn utaelew njia ya ku solve issue ka izo.
 
haha mkuu akili za wanawake bhana ye mwenye huko aliko amekumis sasa fanya ivi kama umemmis na unataka anza kuchat naye hebu,kama kuna ktu ulimpa jifanye kuulizia au kama kuna kazi ulimpa afanya jifanye kuulizia ukishindwa jifanye ndio unampa kazi ambayo hafanyi au mwambie nimemuona rafik ako anapita hapa hapo mtaanza kuchat kama kawa
 
Mkurya anapoamua kuwa mpole.

Kwa nn ujitese mpaka kuandika uzi?

Mwambie "sweetheart i miss u"

nani kakwambia ukianza wewe utajishushia heshima??

Hivi ni vitu vidogo kwenye mapenzi mtafute hiyo ndo maana ya "gentleman"
 
kununiana kwenye mapenzi si kawaida tu,
lakin mkuu, uki mmiss sana wew mfanyie suprisingly ndhuri ndhuri mambo yaende sawa
 
Komaa mkuu,wanapenda sana hizo,ajifunze kwako ili wengine wasisumbuliwenae.
Tukiwafanya hivyo wote,basi kwakuwa huwa tunapokezana,kila mmoja atampata aliyenyooka.
 
Back
Top Bottom