Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 8,987
- 25,099
ungekuta nshajipatia mume 😂😂😂chips na kitimoto vimeniponzaAtavumilia tu
ungekuta nshajipatia mume 😂😂😂chips na kitimoto vimeniponzaAtavumilia tu
hiyo miaka nishavuka mda mrefu aisee, ndiyo nishakosa babe hivo aargh, ukiona anayehitaji mwenye miaka 35 na kuendelea nishtue dearfinancial services japo umri nahisi utakukosesha mume
uandishi mzuri umejipangilia anafaa kuandika hadithi za kusisimuaMzee kujieleza unajua vzr..
Ukikosa mke na hapa
Utamkuta peponi.
Nipo hapa mume wangu.Habari ya jioni wanajukwaa.
Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana
Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza
Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni
Wanawake tuna huruma ndioUmeweka mtego wako vizuri sana kwa kuanza na story ya huyo aliyekua mchumba wako kukusaliti,hapo lazima uwanase wale kina Mama huruma,
Good luck Mkuu.
Usipende kuchukulia kila kitu too serious hapa jf,utateseka sana.Wanawake tuna huruma ndio
Ila point yako inaonyesha mtazamo hasi.
Hilo jibu lirudi pia upande wakoUsipende kuchukulia kila kitu too serious hapa jf,utateseka sana.
Anyway hongera Mke mtarajiwa.
Good luck Mke mwema.Hilo jibu lirudi pia upande wako
Kuongea si kutenda.
Mke mtarajiwa
Ndotoni mwako.
Usipanic sana chai kama chai nyingine tu.
financial services japo umri nahisi utakukosesha mume
WEWE UNASALI KANISA GANI?Habari ya jioni wanajukwaa.
Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana
Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza
Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni
Sasa ndio unatafuta mke kwa staili hii Kama mtu ambaye hajaokoka? Omba Mungu atakupa mke mwema na sio kutumia akili yakoEvengelical Assemblies of God (TZ)
Bado nazidi kumwomba Mungu . Naamini anafanya kazi kwa namna ambayo wanadamu hatutarajii. Kama atatokea makanisa tajwa hapo juu obvious atakuwa ameokoka na mcha Mungu. Atleast that is a starting point, then..........Sasa ndio unatafuta mke kwa staili hii Kama mtu ambaye hajaokoka? Omba Mungu atakupa mke mwema na sio kutumia akili yako
amekwambia kuwa ni mjamzito?Habari ya jioni wanajukwaa.
Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana
Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza
Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni
Na akitokea mwenye vigezo vyote Ila hajaokoka unafanyaje?Bado nazidi kumwomba Mungu . Naamini anafanya kazi kwa namna ambayo wanadamu hatutarajii. Kama atatokea makanisa tajwa hapo juu obvious atakuwa ameokoka na mcha Mungu. Atleast that is a starting point, then..........
Habari ya jioni wanajukwaa.
Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana
Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza
Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni