Naamini mke wangu upo hapa

Habari ya jioni wanajukwaa.

Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana

Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza

Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni
Nipo hapa mume wangu.
 
Habari ya jioni wanajukwaa.

Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana

Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza

Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni
WEWE UNASALI KANISA GANI?
 
Thread closed wakuu, asanteni wote kwa michango yenu.
Acha ni deal na Private messages sasa hivi. Kila aliyekuja serious pm nimemjibu, katika wachache hao (3) naamini Mungu amemuandaa mmoja. Stay blessed
 
Sasa ndio unatafuta mke kwa staili hii Kama mtu ambaye hajaokoka? Omba Mungu atakupa mke mwema na sio kutumia akili yako
Bado nazidi kumwomba Mungu . Naamini anafanya kazi kwa namna ambayo wanadamu hatutarajii. Kama atatokea makanisa tajwa hapo juu obvious atakuwa ameokoka na mcha Mungu. Atleast that is a starting point, then..........
 
Habari ya jioni wanajukwaa.

Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana

Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza

Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni
amekwambia kuwa ni mjamzito?
 
Bado nazidi kumwomba Mungu . Naamini anafanya kazi kwa namna ambayo wanadamu hatutarajii. Kama atatokea makanisa tajwa hapo juu obvious atakuwa ameokoka na mcha Mungu. Atleast that is a starting point, then..........
Na akitokea mwenye vigezo vyote Ila hajaokoka unafanyaje?
 
Habari ya jioni wanajukwaa.

Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana

Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza

Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni

Tahadhari, Hakuna mtu Aliye serious anayetafuta mke kwa stile hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom