Naamini mke wangu upo hapa

Na akitokea mwenye vigezo vyote Ila hajaokoka unafanyaje?
Kuna vigezo ni modifiable na vingine ni non-modifiable yaani kuna vigezo vinaweza kubadilika mfano Dini/imani. Kama atakuwa tayari kuifuata imani ya kristo ya kanisa Pentecost na vigezo vingine vipo okay, hiyo haitakuwa shida (japo mtu anaweza kubadili imani ili tu apate anachokitaka na badaye akaja kugeuka)
Kuna vigezo havibadiliki mfano umri, kuwa na mtoto n.k hivo ndio vyenye changamoto
 
Kuna vigezo ni modifiable na vingine ni non-modifiable yaani kuna vigezo vinaweza kubadilika mfano Dini/imani. Kama atakuwa tayari kuifuata imani ya kristo ya kanisa Pentecost na vigezo vingine vipo okay, hiyo haitakuwa shida (japo mtu anaweza kubadili imani ili tu apate anachokitaka na badaye akaja kugeuka)
Kuna vigezo havibadiliki mfano umri, kuwa na mtoto n.k hivo ndio vyenye changamoto
Andiko la usifungiwe nira na wasioamini unalionaje? Nyie ndio hua mnaokokesha watu, unamwambia nenda kajifanye umeokoka kanisa Fulani then nakuja kukuchumbia, ukweli Ni kua Kama umeokoka huruhusiwi kuoa au kuolewa na asiye okoka
 
Mkuu Fanya interview kabisa ntakuja nikusaidie kuangalia baadhi ya vipengele Na vingine tutatest kabisa,angalau mchujo hata wakibaki watatu,tutajua tutafanyaje ili muhindi lazima apatikane
 
Anataka kuwateka tu wadada wa watu walio desperate!
You may be right in your opinion boss. Sikupingi, lakini kumbuka hata huko makanisani tuliko tunakosema tunaonyeshwa wengi tunadanganywa na hisia/macho na tunaishia kumsingizia Mungu.
 
You may be right in your opinion boss. Sikupingi, lakini kumbuka hata huko makanisani tuliko tunakosema tunaonyeshwa wengi tunadanganywa na hisia/macho na tunaishia kumsingizia Mungu.

Sawa, then kusema unataka tag and eagt wakati unajua ni wasanii? Hauoni inafanya uonekane hauna dhamira ya dhati?
 
"Vibonge mtanisamehe!" Hii statement inaumiza vibonge sana muda muafaka waanze mazoezi Obesity haitakiwi watu wanajali matumbo zaidi ya miili yao
Habari ya jioni wanajukwaa.

Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana

Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza

Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni


THREAD CLOSED
 
Habari ya jioni wanajukwaa.

Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana

Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza

Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni


THREAD CLOSED
Vibonge tuna mapenz ya kweli hao wembamba watawasumbua
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom