MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Kikwete mtu wa Msoga pwani yule ni mtu wa kutoumiza kichwa sana yule
The guy with simple statements mfano juzjuzi tu kasema kuwa ameongeza siku 60 za katiba isipopatikana basi sasa unajiuliza huyu bwana mbona anaonekanaga mwanadiplonasia anaona kabisa muhafaka wa katiba ni ishu badala ya kuonyesha jitihada kuifanisha yeye hataki kujichosha zaidi