Naamini Kikwete anasikitika kama mimi

Naamini Kikwete anasikitika kama mimi

Tupia na zile za maCCM yakicheza huku yanabaishiana na kushikana viuno,au zile wakipigana kugombea posho,au ya jeykey akiendekeza usanii kwa kupiga ngoma hata moja tu!!!

Hivi nyie Mbona kila kitu mnajilinganisha na CCM? Kama wanachofanya CCM na ninyi mnafanya, tofauti yenu na CCM iko wapi?
 
Unapoongoza nchi ya Tanzania ilihali Dr.Slaa na Mhe.Tundu Lissu wapo uraiani, lazima serikali yako itakuwa na wakati mgumu, hasa kama serikali hiyo haifuati utawala wa katiba na sheria, kwa kuwa hawa jamaa ni hatari sana kwa ufuatiliaji wa masuala ya kiserikali chini ya katiba na sheria.

Mtu mmoja akanufurahisha hata kombati wameiga bana

Ishu ya Katiba hawakuwanayo

I always used to say dr slaa is indirect leading this nation
 
MSALANI umeishiwa picha??

Mwambie aongeze na hii hapa.
ImageUploadedByJamiiForums1401168648.175787.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Unapoongoza nchi ya Tanzania ilihali Dr.Slaa na Mhe.Tundu Lissu wapo uraiani, lazima serikali yako itakuwa na wakati mgumu, hasa kama serikali hiyo haifuati utawala wa katiba na sheria, kwa kuwa hawa jamaa ni hatari sana kwa ufuatiliaji wa masuala ya kiserikali chini ya katiba na sheria.

Ningekuwa na uwezo wa JK hakika hawa jamaa ningewaita Ikulu, tunaingia Mkataba wa kutenda kwa niaba yangu hadi muda wangu umalizike... Mafia wanasema "kila Mtu ana bei yake" ningefika Bei ya Lisu kwa gharama yoyote ile ...
 
Tunashukuru kwa picha nzuri. Maana hizi ni tofauti na zile za akina Komba wakikata viuno.
na singida tieni ---- tieni tieni kwa moyo mmojaaaa ---numberi one eeeeee --- numberione ni CCM

Mh. akiwa kazini

images


Baada ya kazi -- anapumzika


komba-auchapa-31.jpg
 
Tunashukuru kwa picha nzuri. Maana hizi ni tofauti na zile za akina Komba wakikata viuno.
na Singida tieni - tieni tieni kwa moyo mmojaaaa ---numberi one eeeeee --- numberione ni sisiemuuu....

Mh. akiwa kazini

images


Baada ya kazi


komba-auchapa-31.jpg
 
Ningekuwa na uwezo wa JK hakika hawa jamaa ningewaita Ikulu, tunaingia Mkataba wa kutenda kwa niaba yangu hadi muda wangu umalizike... Mafia wanasema "kila Mtu ana bei yake" ningefika Bei ya Lisu kwa gharama yoyote ile ...

Hahaaa hii nimeipenda mkuu
 
Back
Top Bottom