Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,018
- 20,489
Unapoongoza nchi ya Tanzania ilihali Dr.Slaa na Mhe.Tundu Lissu wapo uraiani, lazima serikali yako itakuwa na wakati mgumu, hasa kama serikali hiyo haifuati utawala wa katiba na sheria, kwa kuwa hawa jamaa ni hatari sana kwa ufuatiliaji wa masuala ya kiserikali chini ya katiba na sheria.