Hapa jamvini napaamini sana ndipo pa kupata miongozo yote, ndipo pa kuponea.
Nina ndugu yangu wa karibu sana, mjamzito ana upungufu wa damu (8.3) na yuko mwezi wa nane sasa, hivyo bado wiki nne tu ajifungue. Anatakiwa awe na 11.5 ndio salama.
Wataalam wa madawa nifahamisheni:
1. Atumie dawa gani/chakula gani ili damu yake iongezeke haraka (wiki 4)
2. Hivi sasa dawa anazotumia ni HB Tone (vidonge), juice ya rozela na matembere. Kuna mtu kanishauri atumie Hemovit. Je, ipi nzuri zaidi kati ya HB Tone na Hemovit (ya maji?
3. Vidonge na dawa ya maji ipi inafanya kazi haraka zaidi au nzuri zaidi?
4. Hivi, ni kweli Beet root kwa mja mzito ina utata kutokana na reaction yake ya kutoa sumu mwilini?
Natanguliza Shukrani.
dawa ya kijani na kijanja ndio nini mamdenyi..
Juice ya rozela na matembere ndiyo suruhisho la haraka ILA KUMBUKA MATEMBELE ASILE TU KAMA MBOGA BALI CHUKUA MATEMBELE OSHA WEKA JIKONI NA MAJI KIDOGO SANA YAKICHEMKA MARA YA KWANZA TU TOA JIKONI NA KAMUA MCHUZI WAKE ANYWE.FANYA HIVYO ASUBUHI NA JIONI AU ZAIDI.Atumie Hemovit ya maji ni nzuri.Hilo tatizo lilisha mkuta my wife mwaka huu but God is good.Matembele ni faster damu kibao.
Japo umepotea njia ila jitahidi sana na juisi ya rozela ona namna ya kutengeneza:
JUISI YA KUONGEZA DAMU
JINSI YA KUTENGENEZA
1. CHEMSHA MAJI GLASS KUBWA 12 MPAKA YACHEMKE
2. YATOE KWENYE MOTO WEKA CHINI
3. WEKA MAJANI MEKUNDU KIJANJA (UHI) KIMOJA NA NUSU
4. KAA DAKIKA 20
5. CHUJA
6. WEKA KWENYE GLASS
7. WEKA DAWA YA KIJANI KIJIKO KIMOJA CHA CHAI KULE KWENYE GLASS
8. WEKA SUKARI KIJIKO CHA CHAI KIMOJA KAMA UNATUMIA SUKARI
9. TAYARI KWA KUNYWA.
nawakilisha.
dawa ya kijani na kijanja ndio nini mamdenyi..
Japo umepotea njia ila jitahidi sana na juisi ya rozela ona namna ya kutengeneza:
JUISI YA KUONGEZA DAMU
JINSI YA KUTENGENEZA
1. CHEMSHA MAJI GLASS KUBWA 12 MPAKA YACHEMKE
2. YATOE KWENYE MOTO WEKA CHINI
3. WEKA MAJANI MEKUNDU KIGANJA KIMOJA NA NUSU
4. KAA DAKIKA 20
5. CHUJA
6. WEKA KWENYE GLASS
7.8. WEKA SUKARI KIJIKO CHA CHAI KIMOJA KAMA UNATUMIA SUKARI
9. TAYARI KWA KUNYWA.
nawakilisha.
Juice ya rozela na matembere ndiyo suruhisho la haraka ILA KUMBUKA MATEMBELE ASILE TU KAMA MBOGA BALI CHUKUA MATEMBELE OSHA WEKA JIKONI NA MAJI KIDOGO SANA YAKICHEMKA MARA YA KWANZA TU TOA JIKONI NA KAMUA MCHUZI WAKE ANYWE.FANYA HIVYO ASUBUHI NA JIONI AU ZAIDI.Atumie Hemovit ya maji ni nzuri.Hilo tatizo lilisha mkuta my wife mwaka huu but God is good.Matembele ni faster damu kibao.
Pole Mkuu, ukichukua ushauri uliopewa hapa na ukienda kuwaona madaktari bingwa wa akina mama utapata suluhisho kamili. Usimsahau na Mwenyezi Mungu pia.
Caution, ili rozela i-retain minerals zake including iron inapaswa isiwekwe kwenye maji ya moto yaliyokwenye metalic vessel, metalic utensils kama bakuri au sufuria ya bati au chuma yana react na active metals zilizoko kwenye rozela solution hivyo kuifanya remaining juice kuwa makapi yasiyo na nutritional value