Naacha kutumia huduma za kifedha za mitandao baada ya kupandishwa tozo

tamuuuuu

JF-Expert Member
Mar 10, 2014
19,961
25,187
Kwakweli watanzania ni watu wapole sana. Yani mitandao ya simu vodacom, tigo,airtel, halotel n.k imepandisha tozo za kutuma na kutoa fedha mara dufu lakini wapo kimya. Kwanini hatuna hulka za kuchukua hatua na kuonesha kuwa jambo kama hilo haliwezekani? Je ni mpango wa serikali kuwakandamiaza watu wake hivi?

Inasikitisha sana, Rais ingilia kati kwani watu wa chini wanatumia kila siku hizi huduma na wananyonywa sana.Hizi gharama ni kubwa sana.

Tususie kwa kujitahidi kuacha kutumia hizi huduma.
 
Hizo Tozo mpya za miamala kuanzia kile kiasi cha chini hadi kiasi cha mwisho kikubwa cha fedha, Tumeziona kwa ujumla ?

Au tunafanya maamuzi/kujudge kwa ule mfano wa Tzs million moja
 
Vipi katiba mpya ili tuwe na Bunge lisiloipigia magoti Siri kali hivyo kupambana ili kwatetea Watanzania na maslahi yetu badala ya hili Bunge DHAIFU la ndiyoooooooo!!
 
Baadae atakuja kusema nashangaa Bunge kupitisha sheria za kukandamiza wananchi Mzee Ndugai ni kiboko wapo pale kutembea tuu sio kufanya chochote kwa maslahi ya Wananchi...
 
Hizo Tozo mpya za miamala kuanzia kile kiasi cha chini hadi kiasi cha mwisho kikubwa cha fedha, Tumeziona kwa ujumla ?

Au tunafanya maamuzi/kujudge kwa ule mfano wa Tzs million moja
Kama hizi?

IMG_20210710_064122.jpg
 
Hizo Tozo mpya za miamala kuanzia kile kiasi cha chini hadi kiasi cha mwisho kikubwa cha fedha, Tumeziona kwa ujumla ?

Au tunafanya maamuzi/kujudge kwa ule mfano wa Tzs million moja
Hakuna aliyekatwa hayo makato tajwa
 
Nimeshahmia bank siku nyingi nina app yangu ya crdb nalipa bill zote nafanya kila transaction kwa bei ndogo tu
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.

sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine...
Mashudu...hapo mwenyewe unaona umetoa bonge la hoja...
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.

sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!

tulipende Taifa letu. Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu. Kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana...

Tozo zenyewe hazipo wazi, unaambiwa tu huna muamala wakutosha basi..
 
Kuhusu hizi gharama kuwa kubwa, alternatives zipo, sio lazima kutuma pesa kupitia simu.

Ni muda muafaka sasa kwa wananchi kuanza kutumia banks. Ukiangalia muamala wa hata milioni mia moja kwenye banks haifiki hata elf 20.

Let us switch to these alternatives.
 
Kuhusu hizi gharama kuwa kubwa, alternatives zipo, sio lazima kutuma pesa kupitia simu.

Ni muda muafaka sasa kwa wananchi kuanza kutumia banks. Ukiangalia muamala wa hata milioni mia moja kwenye banks haifiki hata elf 20.

Let us switch to these alternatives.
Nimesikia kuna mdau mmoja kasema bank kuna makato pia kila mwezi hiyo pesa unayoweka
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.

sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
MM
 
Back
Top Bottom