GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
"Nitoe wito kwa chama changu cha Mapinduzi, watumie vikao badala ya kuwa wanasemana hadharani huo sio utaratibu wa chama cha Mapinduzi"-Mhe. Dk. John Magufuli - Mgombea Urais wa CCM.
Radio One Stereo / ITV Tanzania.
Kama wana CCM hata Wewe ( Mwenyekiti ) tu umeambiwa kuwa 'Wanasemana' vibaya basi kwa wenye 'Akili' tumeshajua Chama Kimegawanyika.
Radio One Stereo / ITV Tanzania.
Kama wana CCM hata Wewe ( Mwenyekiti ) tu umeambiwa kuwa 'Wanasemana' vibaya basi kwa wenye 'Akili' tumeshajua Chama Kimegawanyika.