GENTLEMAN S
Member
- Feb 19, 2014
- 47
- 8
Kauli hii nimeisikia kwa watu kadhaa waume kwa wake.je ni sahihi kwa mtu aliyeathirika na magonjwa yasababishwayo na ngono(STD's) zaidi UKIMWI kutoa kauli kama hiyo?
Unakuta mtu baada ya kujitambua amepatwa na maambukizi anafanya kusudi kujiingiza kwenye mahusiano mapya na watu tofauti tofauti..
Je hili lina mchango gani katika kumpa mwathirika unafuu wa kimwili na kiakili?
USHAURI wangu
kabla ya kuingia kwenye mahusiano mchunguze mwenzio kwa undani na pia vipimo vya SDT's na kwa wale waliokwisha kuathirika kwa njia moja ama nyingine nawashauri wawe wawazi wasifanye malipizi.
Unakuta mtu baada ya kujitambua amepatwa na maambukizi anafanya kusudi kujiingiza kwenye mahusiano mapya na watu tofauti tofauti..
Je hili lina mchango gani katika kumpa mwathirika unafuu wa kimwili na kiakili?
USHAURI wangu
kabla ya kuingia kwenye mahusiano mchunguze mwenzio kwa undani na pia vipimo vya SDT's na kwa wale waliokwisha kuathirika kwa njia moja ama nyingine nawashauri wawe wawazi wasifanye malipizi.