Mswahili hasa mtanzania yupo radhi umnyime chakula lakini si habari inayohusu maisha binafsi ya mtu mwingine......but anyway rais kwa nafasi anajadilika. Alipoamua kuwa rais hapo alipoteza privacy ya maisha yake kasoro mambo yanayohusu utu wa mwili na mengine ya aina hiyo