BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,323
- 7,895
- Thread starter
- #41
Si vyema kutuvunja mbavu.
Mungu anakuchungulia ujue.
Bwahahahahahahaha
Si vyema kutuvunja mbavu.
Mungu anakuchungulia ujue.
Le' posidon petit!Duh, Nashukuru mzee
Bwahahahahahahaha
Le' posidon petit!
Ushaambiwa uache kucheka kama mbweha hutaki kuskia,
Utamsikia mchumba kwenye bomba sasa maana hakuna namna.
AiseeePic yako imeniconfuse don't get me wrong Mr ..I am trying being humble here, show some respect,...
Majibu yako tu me hoiSorry I thought you were a woman,... Delete ii matusi yako pls aseeehh I didn't ask for this,
Aiseee
Majibu yako tu me hoi
Nimependa umejishushaa umekuwa mpole haswa ulipogundua ukosea,SAAAFI.
Sasa ngoja ni come
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huku kucheka hata mm kuna nirudisha nyuma
Ushaambiwa uache kucheka kama mbweha hutaki kuskia,
Utamsikia mchumba kwenye bomba sasa maana hakuna namna.
Bwahahahahaha bwahahahahaha aki ivo ndo nilivo sasa labda ntacompasate but siwez kujicompromise,...
Mungu akujalie hitaji la moyo wako!
Kijana kichwa ngumu, si hawajui nyie mkoje,
Akiskia mtu kakataliwa kwa sababu tu akiongea anarusha mate ndo ataelewa nyie mkoje.
Ila mimi sijarusha mate, na katika hill nyinyi wawili wakulaumiwa coz ni wanaume but mnaniwekea fitini zisizo na msingi,... Wewe unajua mimi nikoje,.?.. Au unadhani nimendika apa kufanya mark time,... Jaribun kuheshimu binafsi ya mtu hamjaitwa na wala Dada zenu awajaitwa, nashindwa kuelewa kinachowawasha ni kipi,.. Learn to my ur business you're not someone to tell me who I should be or do,....
Duh, Povu tena.
Sina haja ya kufua mimi acha nijiengue. Bacyclerbacy njoo umu handle mtu wako huku, asije sema tumekupeperusha bure.
Kijana kichwa ngumu, si hawajui nyie mkoje,
Akiskia mtu kakataliwa kwa sababu tu akiongea anarusha mate ndo ataelewa nyie mkoje.