Na mimi nakwenda Loliondo!

Kadogoo

JF-Expert Member
Feb 26, 2007
2,073
341
Hamjambooo? ndio nimetoka jela hivi punde baada ya kusota muda mrefu kwa kufungiwa na Modereta mpaka nimeupata ugonjwa wa Kisukari! nimesikia kuna BABU huko Loliondo anatibu hivyo naenda huko halafu nitarudi na majibu!!!
 
Nenda ukaongezewe kisukari!
Hamjambooo? ndio nimetoka jela hivi punde baada ya kusota muda mrefu kwa kufungiwa na Modereta mpaka nimeupata ugonjwa wa Kisukari! nimesikia kuna BABU huko Loliondo anatibu hivyo naenda huko halafu nitarudi na majibu!!!
 
Back
Top Bottom