Hamjambooo? ndio nimetoka jela hivi punde baada ya kusota muda mrefu kwa kufungiwa na Modereta mpaka nimeupata ugonjwa wa Kisukari! nimesikia kuna BABU huko Loliondo anatibu hivyo naenda huko halafu nitarudi na majibu!!!
ulifanya nini hadi ukala ban?