MpigaKelele,mimi nilivosikia mama anaongea nilikumbuka maneno ya Rais msafiri "akili za kutazamia,changanya na zako" hili naona akina makinda na kombani wameliwekea mgomo baridi,wanatumia za kuangalizia tu! Ivi kilimo kwanza ni sheria mpaka ianze kuwa compulsory kwa kuwasaka form4?au ni sera?! Je ilo lengo la kuwa na form4?au hatatuakikishiaje kuwa serikali itaweza kuwakwamisha hawa f4 ili wasiende form5 na vyuo ili waweze kutekeleza sera ya kilimo cha kwenye vyombo vya habari? Je hawa ndo watakuwa mameneja wa kilimo au vibarua? Kama ni vibarua wana uhakika wa kuwapa ajira ya kudumu au kuwakwamisha kielimu? Je,makinda ametafakari wakati huu kizazi kipya form four wanamaliza wakiwa na miaka mingapi?au ile over 18 kukwepa child labour ameisahau?au anataka kila mstaafu wa serikali aende kwa Ocampo,the Hague akajibu mwaka 2015+? Makinda cku izi si zama za miaka ya 47,waache watoto wakasome,tumia digree za SUA,IGABIRO mlete kilimo adithi. Hamna cheap labour hapa walipe wasomi wakafanye kazi. Kwa sasa kila mwenye ajira serikalini anatoa tamko bila ata research,kazi ipo. Sijui uyu mkulu traveller anawasikia hawa viongoz aliotuwekea au ndo kawatuma?