Na huu ni ugaidi?

Na huu ni ugaidi?

Kadogoo

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2007
Posts
2,073
Reaction score
343
mwigulu-albino-feb20-2013.jpg


Mwigulu Matonange (10), a Standard I pupil at Msia Primary School in Sumbawanga District, nurses wounds at Mtowisa Health Centre after an attack on February 15 in which his left arm was chopped off. (Photo: Correspondent Emmanuel Kwitema, UTSS Sumbawanga)

Jamani mpaka lini haya yataendelea? kwanini tunakuwa na roho mbaya hivi? mtoto huyu amekosa nini? Serikali inatumia nguvu kubwa kuzuia maandamano ya Wananchi na hata kuwalinda viongozi kwa gharama kubwa! kwanini hawa walemavu hawalindwi? Nchimbi kama Waziri wa Mambo ya ndani haoni haya? kama anasema kuna ugaidi Zanzibar na haya ya Sumbawanga sio ugaidi?

Wa TZ muda si mrefu Mungu atatuadhibu kama hatutafanya la maana kunusuru maisha ya wenzetu!
 
Inasikitisha sana! karne ya 21 yanatokea Tanzania!
 
tatizo ni serekali sikivu inayo ongozwa na sisiemu, kutotaka wananchi wawe na elimu bora waweze kukabiliana na changamoto za karne ya 21, na pia kutokuwa na mipango mizuri inakayo muwezesha ntu kuweza kufanikisha shughuli zake za kiuchumi, wao kazi yao kuuwa uzalishaji wa umeme na kuharibu reli ili malori yao yapate tenda ya kusafirisha mizigo, kuharibu barabara ili waseme kulikuwa hakuna barabara sasa tumewaletea, kuleta richmond, ndio ubunifu wao, sasa mtu wa chini atajifunza nini kizuri toka kwao.
na tuna sikia kamati za ulinza walizo nazo viongozi wetu.
 
viongozi wetu wanaongoza nchi kwa hisia bila ya kutumia sheria matokeo yake kulikuza tatizo na si kulitafutia ufumbuzi
 
Mnajijuaeee!... Jilipueni!
Sisi tunajijua kama nyie bado hamjijui kimpangowenu.
 
Tena sjui ni wewe ulomkata huyo mtoto mkono?maana ushaanza kulia lia!
 
Na hao waliomfanyia ugaidi huyo mtoto wa darasa la kwanza mafunzo yao wamepata wapi? kama mlikuwa mnawajua hao magaidi waliosomea Somali kwanini hamkuwazuia kabla ya kufanya ugaidi? au huwa mnafaidika na ugaidi? pesa toka Marekani kwa ajili ya kupigana na magaidi!

Ni wajibu wa serikali ya kiislamu kufanya kazi hii!
 
Mali walisema hivyo hivyo ila sasa wamekiona cha moto......

2012-09-20t142107z_129289073_gm1e89k1pk401_rtrmadp_3_mali.jpg


Unataka ushahidi? Angalia hapa ambapo mkono umekatwa na Kitabu kimewekwa mbele: (Angalizo, picha inatisha).
amputation mali



Wakiristo Mnaanza kuweweseka,,, mnaonekana kama machisi siku hizi
 
TAYADI, jaribu kutulia usome tena posts zako.

Jaribu kuona kama unatoa mchango chanya au hasi.

cc. Fang Paw

Mtu wa shamba soma private meseji niliyo post kwako!... Pili sehemu yoyote ulipoona mchango wangu hasi upo rudi utakuta thread husika inaushahidi wa kitu kibaya kinacho fanyika!... Situkani mtu wala kukiuka kanuni nilizopewa na moderators.

Moderators Wana haki ya kupitia na kujaji!... Kwa ufupi wazo lako ni zuri!..
 
Kaka Huu Sio UGAIDI
Ugaidi ni kuvaa Kanzu na Balagashia halafu Ukafuga Ndevu
Ndo Maana Kibwetere alichoma Waumini lakini Hakuitwa Gaidi
Rwanda Wachungaji wanashtakiwa Nahakama ya Kimataifa kwa kusababisha Mauwaji(Vita ya Rwanda) lakini hutosikia wakiitwa Magaidi
Mifano no mingi Sema Mmejitia Upofu ilhali Mnaona Mkajitia Uziwi ulhali Mnasikia
 
viongozi wa nchi acheni udhaifu chukueni hatua kama mmeshindwa kaaeni pembeni
 
Yeyote anayeamini majini anaua na kuchinja ili apate kafara, ndo maana hata migombe na mikuku inang'ang'ania kuchinja halafu wote wale..sirkali ya majinimjini,wote ugaidi huu.Maana damu wanampa jini.

WEWE, YESU HAKUCHINJWA?kwa imani ya majini gani?
 
Inasikitisha sana! wa TZ tunakatana mikono tena ya ndugu zetu Albino! halafu mtu anatuletea picha za mikono ya watu waliokatwa nchi zingine! kwa nini hatutaki kutoa boriti letu? tunakimbilia ya wengine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom