jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
- ha! ha! ha1 yale yale hakuna mapya kumbe huko!!
Le Mutuz
Mbona hujapigia mstari au kukoleza rangi KIM JONG UN
- ha! ha! ha1 yale yale hakuna mapya kumbe huko!!
Le Mutuz
Afadhali uvue hilo kofia la wasomi... maana unajitangaza msomi.. wakati mawazo ya chekechea... lini utapata akili ya mwanafunzi wa sekondari walau? Achilia mbali makofia ya chuo unachojitwika.- Wote wawili hawajui Demokrasia ndio maana wamezomewa, Sheria ya Demokrasia toka ilipozaliwa Greece ni kwamba ikibanwa huwa inatafuta njia ya kusema kubanwa kwake na huwa ina tabia ya kusema kwa kutumia njia nyingi sana ila tatizo ni kama walengwa wamesikia. Tatizo la Zuma ni lile lile la Chadema na Dr. Slaa, uwazi wa mahesabu ya matumizi ya chama, wote wamejibu kwa kukurupuka Zuma alimfukuza Malema na huku wenzetu wamemfukuza Zitto lakini wote wawili hakuna aliyegusa hoja za Malema na Zitto, ndio maana watazomewa mpaka watakapojifunza kusikiliza sauti ya Demokrasia iliyobanwa.
- Majuzii Katibu Mkuu wa CCM Kinana, katika ziara zake Mikoani aidha Mawaziri wamezomewa au kulaumiwa sana na wananchi mbele ya Kiongozi huyo mkuu wa chama, matokeo jana mawaziri wote wahusika wameitwa na Kamati Kuu ya CCM kujibu mashitaka yao na sababu za kuzomewa kwao, that is Democracy na ndio maana CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu sana kama kilivyo sasa Chama kikongwe cha siasa kwenye madaraka kwa mudaa mrefu kuliko vyote Afrika.
Habari Inaendelea kwenye gazeti la kesho na kila Jumapili la Jambo Leo Uchambuzi wangu.
Le Mutuz Big Shoow
FILOSOFIA... ZUMA alizomewa - W.De.Clerk hakuzomewa go figure...
- Daamn man what is this? do it again mamen I am lost out!!, ila usikose gazeti la kesho please Jambo Leo!!
Le Mutuz
Ni njaa tu zinawasumbua. Hivi hii ajira yenu huwa mnalipa kodi kweli? Kwa hiyo na wewe hapa unatarajia elfu saba? Kazi kweli kweli!!!Na bado slaa atazomewa sana hadi ajiuzulu
- Wote wawili hawajui Demokrasia ndio maana wamezomewa, Sheria ya Demokrasia toka ilipozaliwa Greece ni kwamba ikibanwa huwa inatafuta njia ya kusema kubanwa kwake na huwa ina tabia ya kusema kwa kutumia njia nyingi sana ila tatizo ni kama walengwa wamesikia. Tatizo la Zuma ni lile lile la Chadema na Dr. Slaa, uwazi wa mahesabu ya matumizi ya chama, wote wamejibu kwa kukurupuka Zuma alimfukuza Malema na huku wenzetu wamemfukuza Zitto lakini wote wawili hakuna aliyegusa hoja za Malema na Zitto, ndio maana watazomewa mpaka watakapojifunza kusikiliza sauti ya Demokrasia iliyobanwa.
- Majuzii Katibu Mkuu wa CCM Kinana, katika ziara zake Mikoani aidha Mawaziri wamezomewa au kulaumiwa sana na wananchi mbele ya Kiongozi huyo mkuu wa chama, matokeo jana mawaziri wote wahusika wameitwa na Kamati Kuu ya CCM kujibu mashitaka yao na sababu za kuzomewa kwao, that is Democracy na ndio maana CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu sana kama kilivyo sasa Chama kikongwe cha siasa kwenye madaraka kwa mudaa mrefu kuliko vyote Afrika.
Habari Inaendelea kwenye gazeti la kesho na kila Jumapili la Jambo Leo Uchambuzi wangu.
Le Mutuz Big Shoow
Nani atasoma pumba zako kwenye hicho ki-tabloid- Kukubarika na nani? wewe? ha! ha! ha! please usikose hilo gazeti kesho maana nimewachana kinoma sana!!
Le Mutuz
Na wewe unafikiri nini, mbona kichwa kiko wazi?ptuuuu!
kwa hili umefikiria chini ya kiwango wewe
Ndo uwezo wako ulpofkia hapo
Tatizo la watanzania wa aina hii ni kufikiri ki F4F, hawajui kuwa hayo magazeti ya walalahoi ndio yanasomwa na wengi.Nani atasoma pumba zako kwenye hicho ki-tabloid
Lazima kuna tatizo kichwani kwako watu hawajalifahamu ndio maana wanakujibu na kupoteza muda wao. Hauko sawa kiakili ila unabahati kuwa Chama ulicho hakiwezi kutambua tofauti.- ha! ha! ha! majibu rahisi kwa maswali magumu au na mimi mtanifukuza Chadema? ha1 ha! ha!
Le Mutuz
- Daamn man what is this? do it again mamen I am lost out!!, ila usikose gazeti la kesho please Jambo Leo!!
Le Mutuz
wewe na huyo mchumba wako le mutuz mnafikiri ki div 5 ndio maana mnatulazimisha tusome huo utumbo, hebu nipe takwimu za hao watanzania wengi wanaosoma jambo leo kama si lumumba family peke yake. Yaani nipoteze muda wangu kusoma huo utumbo, hebu niambie cha maana alichoandika huyo kubwa jingaTatizo la watanzania wa aina hii ni kufikiri ki F4F, hawajui kuwa hayo magazeti ya walalahoi ndio yanasomwa na wengi.
Masabur.i at its best...- Bado nasubiri mwenye uwezo wa kuzigusa hoja u know!!
Le Mutuz
@Le Mutuz ingawa mara nyingi sikubaliani na wewe kuhusu misimamo yako kisiasa, nikupongeze kwa jinsi unavyowasilisha hoja zako.Uko mstaarabu bro,huna matusi.Kuna id nyingine unayotumia jf?Labda uko makini kwa hili lenye jina lako.- Bado nasubiri mwenye uwezo wa kuzigusa hoja u know!!
Le Mutuz
Na bado slaa atazomewa sana hadi ajiuzulu