Na bado unajiita mwanaume...

Na bado unajiita mwanaume...

namba 10 nimecheka! ukwel mwanaue yyt hapendezei jaman kutumia hizo xx! imagine mumeo ndo anakutxt namna hyo hhahahahhah!wanaume wamebaki wa kuhesabu kwakweli!
 
hahhhhaha! ni ukweli! wana' na 'z',na 's' asante -sande! chumvi_chuvi!
Hehehe kama ni kweli basi ni mhenga maana kashindwa hata kwenye keyboard kuuficha uhehe wake.

brain is the beautiful part of the body.
 
Naangalia jina jozee mkunaji halafu unaleta hizi mada hapa. Tulipaswa kuona jinsia ya kike ndo inaleta hii mada au unaundugu na kina James delicious

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naangalia jina jozee mkunaji halafu unaleta hizi mada hapa. Tulipaswa kuona jinsia ya kike ndo inaleta hii mada au unaundugu na kina James delicious

Post sent using JamiiForums mobile app


mbn sie wanawake tunaletaga mada hapa kuwekana sawa mkuu!?yuko sawa !(anakerwa)
 
Unapewa mimba na mwanaume mara ya kwanza anaikataa halafu ubakubali mara ya pili na ya tatu eti unajiita mwanamke, maombi ya mwakasege yanatakiwa yakushukie

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ukishaitwa mwanaume kaaukijua umebeba sifazote ishu nikuzchaguatu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mada Zngine Aisee! Mnakosaga Vya Kuandika Nn? Ss Mwanaume Ni Nan? Kila Mwanadam Alie Umbwa Na Mungu Ana Pungufu Moja Au Lingine. Hata Ww Unamapungufu Yako Lkn Haiondoi Uwanaume Wako. Kuna Wkt Weakness Au Strength Zinaweza Kudhihirisha Uwanaume, Uwanamke, Uzee, Ujana Na Hata Utoto Wa Mtu.
 
Naangalia jina jozee mkunaji halafu unaleta hizi mada hapa. Tulipaswa kuona jinsia ya kike ndo inaleta hii mada au unaundugu na kina James delicious

Post sent using JamiiForums mobile app
Mtazamo wako Ndio maisha yako Hakuna kitu kibaya hapo Zaid ya dhana zako potofu
 
Kwa hiyo mimi niliye toboa masikio na pua.
Bado sio mwanaume.
 
Back
Top Bottom