Na bado unajiita mwanaume...

Na bado unajiita mwanaume...

Uko CCM na bado unajiona mwanaume

Sent from my Iphone mpyaaa nimenunua million mbili..!!
 
NO.4; ULIME MAHIND WEW AJE KULA JIRAN NAN KASEMA

Post sent using JamiiForums mobile app
 
1. Umempa mimba mara tatu mwanamke wako, mara zote umemshinikiza azitoe halafu unamuacha, unaenda kuoa mwanamke mwingine. Halafu bado unajiita mwanaume.

2. Unamnyanyasa na kumpiga mkeo, unamdahrau mbele ya vinuka mkojo vyako. Halafu bado unajiita mwanaume.

3. Unambaka mwanamke na unadai unampenda sana. Halafu bado unajiita mwanaume.

4. Unalala na binti yako, eti kwa sababu umeona kifua kimechanua. Halafu bado unajiita mwanaume.

5. Una nyumba mbili na wake wawili. Na hakuna hata mmoja kati yao anaejua uko na mwanamke mwingine wa tatu. Na bado unajiita mwanaume.

6. Umepokea mshahara wako, unatumia kwenye pombe, sigara, wanawake na huachi kitu kwa mkeo. Na bado unajiita mwanaume.

7. Unaingia katika mahusiano, kwa ajili tu ya kumtumia huyo msichana kumkomoa mwanamke uliyekua unampenda. Na bado unajiita mwanaume.

8. Unamlazimisha mwanamke ngono kwa kutumia mamlaka yako aitha kielimu, kisiasa, kidini na pesa ulizonazo. Na bado unajiita mwanaume.

9. Unafanya ngono na mdogo wa mke wako, na unamwambia unatamani ungemuoa yeye. Na sasa ana ujauzito wako. Halafu bado unajiita mwanaume.

10. Unatembea huku suruali ipo katikati ya makalio, unatembea unanesa kama umekatika centre bolt, unatembea na selfie stick, uandishi wako ni wa 'Xaxa', 'xoxo', 'K' , unaongea huku unajiramba midomo na kurembua macho, umejiunga na team zari na team wema, siku nzima upo IG kutukana matusi ya nguoni. Halafu unajiita mwanaume.

Poleni wote mnaoteseka kisá mapenzi
Na kweli umewakuna vizuri.
 
10. Unatembea huku suruali ipo katikati ya makalio, unatembea unanesa kama umekatika centre bolt, unatembea na selfie stick, uandishi wako ni wa 'Xaxa', 'xoxo', 'K' , unaongea huku unajiramba midomo na kurembua macho, umejiunga na team zari na team wema, siku nzima upo IG kutukana matusi ya nguoni. Halafu unajiita mwanaume.
Hapo kwenye kuandika sijui xaxa sijui k sipendi jamani na hata vifupisho nachukia......mtu amesoma ila anaact kama mtu ambae hajasoma
 
Back
Top Bottom