Ndugu zangu mzunguko wa hela umekuwa shida sana kwa sasa mitaani. Kwa kweli fedha hakuna kila mtu ni kulalamika tu. Leo nimefika Benki fulani kwanza nimemkuta Meneja hana raha kabisa kisa anasema watu wanaofanya shughuli na Benki hawapo. Nimekuta watu wachache wa kuhesabu tu.
Kweli kuna tatizo. Kwa upande wa usafiri ndo usiseme. Wengi wamesimamisha mabus yao kwa sababu ya ukosefu wa abiria. Juzi nilipanda Bus kwa kawaida kampuni hiyo ya mabus ilikuwa inajaza kwelikweli.
Juzi tumesafiri kwenye Bus hilo abiriai 15 mpaka mwisho wa safari. Kuna tatizo. Tunaiomba Serikali ifanye utafiti juu ya matatizo haya na ije na jawabu ya kurekebisha matatizo haya.
Kweli kuna tatizo. Kwa upande wa usafiri ndo usiseme. Wengi wamesimamisha mabus yao kwa sababu ya ukosefu wa abiria. Juzi nilipanda Bus kwa kawaida kampuni hiyo ya mabus ilikuwa inajaza kwelikweli.
Juzi tumesafiri kwenye Bus hilo abiriai 15 mpaka mwisho wa safari. Kuna tatizo. Tunaiomba Serikali ifanye utafiti juu ya matatizo haya na ije na jawabu ya kurekebisha matatizo haya.