Ume Nena vizurii kwa huyu.Ungelikuwa umezoea jamii tofauti usingelikuwa na mawazo ya kibaguzi kwa kiasi hiki.
Nini cha ajabu kuona mtu mwenye asili ya bara Europa akiomba?!
Hahaha daa we jamaa una zambiItakuwa Haji Manara huyo
Cha ajabu kipo..hawajazoeleka kuwa na tabia hizi hasa wakiwa nchi za watu labda wewe ndo huwajui ila amini hawanaga hii tabia so huoni ni ajabu hiloUngelikuwa umezoea jamii tofauti usingelikuwa na mawazo ya kibaguzi kwa kiasi hiki.
Nini cha ajabu kuona mtu mwenye asili ya bara Europa akiomba?!
Sijajua labda ni yeyeHuyo Mzungu bado yupo? Nilionana naye 2011. Akanambia aliibiwa pesa na amefukuzwa kwenye nyumba. Alinitapeli 30,000/=. Baada ya juma moja hivi nikamkuta posta anamwingiza mtu kingi kwa story ile ile. Tapeli huwa akumbuki anaowatapeli. Hakunikumbuka. Nikamwambia aliyekuwa anataka kutapeliwa kuwa huyo Mzungu ni tapeli aliyekubuhu.
😂 😂 😂 😂 😂 😂Pamoja na story kutokuhusu mambo ya ngono lakini hitimisho lako liko kwenye ngono tu duh
ahahah bas kwel hal ngumu kwa oteZungu kabisa from norway
Msamehe tu nyomi ya act wazalendo Pemba imeshamchanganyaPamoja na story kutokuhusu mambo ya ngono lakini hitimisho lako liko kwenye ngono tu duh
Mkuu Pitia Uzi wa Chini utapata Michango ya wadau:- 👇 👇 👇 👇Habari zenu ndugu zangu poleni na majukumu.
Jana nilikuwa nimetulia kwenye moja ya hotel hapa katikati ya jiji napendaga sana kuja kujipumzisha kidogo kupata vinywaji.
Sasa bhana kuna jamaa mwenye asili ya kizungu akaja akanigusa bega kidogo akavuta kiti nayeye akakaa, Tukasalimiana vizuri akanambia huwa ananionaga nakujaga mara kwa mara pale kwani yeye yupo kitambo kidogo pale..
Basi katika stori mbili tatu nikashangaa ananiomba nimsaidie hela kwani hana hela hajatumiwa akanambia ilibidi apate hela siku mbili hizi lakini imeshindikana.
Kwa hela aliyokuwa anahitaji nikatafakari sana lakini mwisho wa siku nikamwambia ajaribu kwenda ubalozi wanaweza wakasikiliza hitaji lake.
My take:: madada zetu na wapenda mteremko sio kila mzungu mnaemwona basi ana hela wengine wapiga vitonga tu so kuweni makini.
Kuwa makini wengine ni ma CIA wanajifanya hivyo kumbe kuna kitu wametumwa kuchunguzaAnaongea ngeli mkuu
Habari zenu ndugu zangu poleni na majukumu.
Jana nilikuwa nimetulia kwenye moja ya hotel hapa katikati ya jiji napendaga sana kuja kujipumzisha kidogo kupata vinywaji.
Sasa bhana kuna jamaa mwenye asili ya kizungu akaja akanigusa bega kidogo akavuta kiti nayeye akakaa, Tukasalimiana vizuri akanambia huwa ananionaga nakujaga mara kwa mara pale kwani yeye yupo kitambo kidogo pale..
Basi katika stori mbili tatu nikashangaa ananiomba nimsaidie hela kwani hana hela hajatumiwa akanambia ilibidi apate hela siku mbili hizi lakini imeshindikana.
Kwa hela aliyokuwa anahitaji nikatafakari sana lakini mwisho wa siku nikamwambia ajaribu kwenda ubalozi wanaweza wakasikiliza hitaji lake.
My take:: madada zetu na wapenda mteremko sio kila mzungu mnaemwona basi ana hela wengine wapiga vitonga tu so kuweni makini.
Hiyo sasa inaitwa roho MbayaNafurahi sana kumwona mzungu mwarabu mhindi akitaabika, roho kwatuuu
Nafurahi sana kumwona mzungu mwarabu mhindi akitaabika, roho kwatuuu