Mzungu ombaomba Dar

Mzungu ombaomba Dar

Ungelikuwa umezoea jamii tofauti usingelikuwa na mawazo ya kibaguzi kwa kiasi hiki.

Nini cha ajabu kuona mtu mwenye asili ya bara Europa akiomba?!
Ume Nena vizurii kwa huyu.

Pia akumbuke mesali hii mswahiliii akipata mat...ko hulia mbwataaa
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Huyo Mzungu bado yupo? Nilionana naye 2011. Akanambia aliibiwa pesa na amefukuzwa kwenye nyumba. Alinitapeli 30,000/=. Baada ya juma moja hivi nikamkuta posta anamwingiza mtu kingi kwa story ile ile. Tapeli huwa akumbuki anaowatapeli. Hakunikumbuka. Nikamwambia aliyekuwa anataka kutapeliwa kuwa huyo Mzungu ni tapeli aliyekubuhu.
 
Ungelikuwa umezoea jamii tofauti usingelikuwa na mawazo ya kibaguzi kwa kiasi hiki.

Nini cha ajabu kuona mtu mwenye asili ya bara Europa akiomba?!
Cha ajabu kipo..hawajazoeleka kuwa na tabia hizi hasa wakiwa nchi za watu labda wewe ndo huwajui ila amini hawanaga hii tabia so huoni ni ajabu hilo
 
Huyo Mzungu bado yupo? Nilionana naye 2011. Akanambia aliibiwa pesa na amefukuzwa kwenye nyumba. Alinitapeli 30,000/=. Baada ya juma moja hivi nikamkuta posta anamwingiza mtu kingi kwa story ile ile. Tapeli huwa akumbuki anaowatapeli. Hakunikumbuka. Nikamwambia aliyekuwa anataka kutapeliwa kuwa huyo Mzungu ni tapeli aliyekubuhu.
Sijajua labda ni yeye
 
Warusi ndio wenye tabia hiyo pia ya utapeli
ukikutana nao waweza kukupa dili ukiingia kingi umeisha
 
Habari zenu ndugu zangu poleni na majukumu.

Jana nilikuwa nimetulia kwenye moja ya hotel hapa katikati ya jiji napendaga sana kuja kujipumzisha kidogo kupata vinywaji.

Sasa bhana kuna jamaa mwenye asili ya kizungu akaja akanigusa bega kidogo akavuta kiti nayeye akakaa, Tukasalimiana vizuri akanambia huwa ananionaga nakujaga mara kwa mara pale kwani yeye yupo kitambo kidogo pale..

Basi katika stori mbili tatu nikashangaa ananiomba nimsaidie hela kwani hana hela hajatumiwa akanambia ilibidi apate hela siku mbili hizi lakini imeshindikana.

Kwa hela aliyokuwa anahitaji nikatafakari sana lakini mwisho wa siku nikamwambia ajaribu kwenda ubalozi wanaweza wakasikiliza hitaji lake.

My take:: madada zetu na wapenda mteremko sio kila mzungu mnaemwona basi ana hela wengine wapiga vitonga tu so kuweni makini.
Mkuu Pitia Uzi wa Chini utapata Michango ya wadau:- 👇 👇 👇 👇

Mzungu Omba Omba ndani ya Dar
 
Habari zenu ndugu zangu poleni na majukumu.

Jana nilikuwa nimetulia kwenye moja ya hotel hapa katikati ya jiji napendaga sana kuja kujipumzisha kidogo kupata vinywaji.

Sasa bhana kuna jamaa mwenye asili ya kizungu akaja akanigusa bega kidogo akavuta kiti nayeye akakaa, Tukasalimiana vizuri akanambia huwa ananionaga nakujaga mara kwa mara pale kwani yeye yupo kitambo kidogo pale..

Basi katika stori mbili tatu nikashangaa ananiomba nimsaidie hela kwani hana hela hajatumiwa akanambia ilibidi apate hela siku mbili hizi lakini imeshindikana.

Kwa hela aliyokuwa anahitaji nikatafakari sana lakini mwisho wa siku nikamwambia ajaribu kwenda ubalozi wanaweza wakasikiliza hitaji lake.

My take:: madada zetu na wapenda mteremko sio kila mzungu mnaemwona basi ana hela wengine wapiga vitonga tu so kuweni makini.

Johannesburg, wazungu omba omba mbona wengi tu.
 

Attachments

  • 1597210622171.jpeg
    1597210622171.jpeg
    55.1 KB · Views: 6
Mwanaume ukiombwa hela na hujatoa unakausha. Kuja kumuanika mtu mitandaoni kisa kakuomba hela ni ushamba na tabia za kimasikini. Haijalishi hata kama alikuwa ni mzungu. Jifunze maisha utaelewa nilichoandika hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom