Cascos
New Member
- Oct 13, 2012
- 0
- 198
Habarini wanajamvi,
Watu wengi tumekuwa tukiishi kwa mazoea bila ya kuwa na udadisi kwa vitu tunavyofanya au hata kusema kila siku, yapo maswali mengi amabyo mtu anaweza kujiuliza kwa mfano: nini chanzo cha upepo? na vitu vingine vinavyofanana na hivyo lakini kutokana na uvivu wetu wa kufikiri inatufanya kutokuwa wadadisi wa mambo.
Hii inapelekea kuchangia mambo kwa ushabiki au mihemko bila ya kufikiri.
Unaweza kupima kiwango chako cha kufikiri / kudadisi kwa kujiuliza swali jepesi kama,
mzungu ni nani?
Jibu la haraka ni kwamba mzungu ni mtu mweupe, lakini je wataka kunambia mchina nae ni mzungu? Vipi kuhusu waarabu, nao ni wazungu? Wahindi je?
mzungu ni nani? Asili yake ni wapi?
Watu wengi tumekuwa tukiishi kwa mazoea bila ya kuwa na udadisi kwa vitu tunavyofanya au hata kusema kila siku, yapo maswali mengi amabyo mtu anaweza kujiuliza kwa mfano: nini chanzo cha upepo? na vitu vingine vinavyofanana na hivyo lakini kutokana na uvivu wetu wa kufikiri inatufanya kutokuwa wadadisi wa mambo.
Hii inapelekea kuchangia mambo kwa ushabiki au mihemko bila ya kufikiri.
Unaweza kupima kiwango chako cha kufikiri / kudadisi kwa kujiuliza swali jepesi kama,
mzungu ni nani?
Jibu la haraka ni kwamba mzungu ni mtu mweupe, lakini je wataka kunambia mchina nae ni mzungu? Vipi kuhusu waarabu, nao ni wazungu? Wahindi je?
mzungu ni nani? Asili yake ni wapi?