mzungu na mapishi ya ugali wapi na wapi?

mzungu na mapishi ya ugali wapi na wapi?

Huo ugali lazima utakua mbichi na kua contaminated na minywele :A S 13:
 
Huo ugali kama halua eeeh

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Bila shaka ni malawi huko

Huwa wanapasha maji sana,halafu sufuria inatolewa motoni inawekwa chini,ugali unaanza kusongwa

Bila shaka huo ni ugali wa muhogo maana wa mahindi kwa style hiyo hauwezi kuiva.
 
Back
Top Bottom