Kama alikua analala nao hata watatu inawezekana. Kuna mwenye nyumba wangu mwaka 2014 alikua ameshalala na wanawake si chini ya 900. Ilikua haipiti siku hajalala ba mwanamke. Tena wakati mwingine analala na mmoja mpaka saa sita au saba usiku akiondoka analeta mwingine usiku huo huo. Sema yeye nilisikia ngoma haijamuachaHuo nao ni ubatili mtupu! Alifaidikaje kwa kutembea na wanawake wote hao?
Alivuna alichokipanda. Bado naona hiyo tabia kuwa ni ubatili na kujilisha upepo!Kama alikua analala nao hata watatu inawezekana. Kuna mwenye nyumba wangu mwaka 2014 alikua ameshalala na wanawake si chini ya 900. Ilikua haipiti siku hajalala ba mwanamke. Tena wakati mwingine analala na mmoja mpaka saa sita au saba usiku akiondoka analeta mwingine usiku huo huo. Sema yeye nilisikia ngoma haijamuacha
mimi nilitaka kumkosoa kwakusema kuwa alijuaje kama baadhi ya aliowapa hzo mimba hawakutoa ..ila nafsi ikanisuta ..nakuniambia mademu wa kiafrica jinsi walivyokuwa na shobo na wazungu hakuna hata aliyeitoa hiyo mimba ...To hell with him! 600 haramus in Africa, huyu alitumwa!.... Btw anasema hajui waliotoa mimba ila nadhani wote watakuwa wamejifungua, madada wengi wanashobo na wazungu sana!
Angeshakufa na miwayaAngeshuka bongo 2,000 angewavua picchu na UKIMWI JUU!
Manii haziishi? Kila siku ngoma Tatu mpya.duuuhKama alikua analala nao hata watatu inawezekana. Kuna mwenye nyumba wangu mwaka 2014 alikua ameshalala na wanawake si chini ya 900. Ilikua haipiti siku hajalala ba mwanamke. Tena wakati mwingine analala na mmoja mpaka saa sita au saba usiku akiondoka analeta mwingine usiku huo huo. Sema yeye nilisikia ngoma haijamuacha
Miwaya ya Western Africa ni mikali kuliko ya East Africa.Angeshakufa na miwaya
Sio tu wanawake hata yeye angeambiwa apitishwe pipe ili apewe pesa hizo angekubali."Africa is a marvelous continent. Girls are beautiful and very sexy. All they want is a man who has money, and the worst is when he’s white".Asitake kudhalilisha wanawake wa kiafrika,kwani ukienda Europe kama una hela hizo alizokuwa nazo huwezi kufanya alichokifanya kwa wanawake weupe?kuna mwanamke wa dunia hii asietaka hela kwa lolote lile?aende zake huko,tena kwao huko wanawake wa hivyo ni wengi kuliko hata huku kwetu Afrika...
Mwanaume huyo eti!!
Si mnapenda kusifiana kwa kupitia wengi.. msifieni basi au ana akili za hayo kuliko wabantu?.. ha ha haaaa