Exactly, mimi pia ilinikuta mwaka janaUnaonekana ulishawahi kuomba chuo na ukachaguliwa. Jaza fomu ya TCU uiwasilishe hicho chuo wakufute kabla ya kuomba upya
Mkuu wewe ulisomaga diploma?? Na je ulichaguliwa mzumbe??Exactly, mimi pia ilinikuta mwaka jana
Ndio, nilisoma diploma. Baada ya kuapply nililetewa ujumbe huo huo, nikafanya kama ndugu yangu alivyoshauri na nashukuru nikachaguliwa round hiyo ya kwanzaMkuu wewe ulisomaga diploma?? Na je ulichaguliwa mzumbe??
Ndio, nilisoma diploma. Baada ya kuapply nililetewa ujumbe huo huo, nikafanya kama ndugu yangu alivyoshauri na nashukuru nikachaguliwa round hiyo ya kwanza
Unaweka cheti cha diploma... pamoja na AVN unayotakiwa kuipata kutoka NACTENaomba kufahamu wakati unafanya application, je uliweka cheti chako cha diploma au transcript ya matokeo, sababu mm sina cheti ila naweza kupata transcript chuoni, naomba nijulishe ndugu