Ok nilidhani naweza kupata quick response, Asante mkuu.Huu Uzi sijui kama utaipata wachangiaji mkuu..
Ni heri ukawapigia maana kwenye website yao wameweka number zao siku za kazi wapigie
Umeenda nje ya mada mkuu.Mzumbe wameshusha sana elimu ya Tanzania hasa Masters ya HR , yaani mzumbe Dar pale kama una mkeo anasoma aisee andika maumivu, kuna vivulana vinafanya mabenki na ofisi kubwa kubwa vinalba wake za watu kwenye Car Parking, aisee pale hapaa, Wanaume mnachapiwa wake zenu balaa na wake zenu wanalalamika wanatoa nje kwa kuwa nyie mnaishia chips mayai na kunwywa pombe usiku badala ya kubembeleza mamaa.
Ukitaka mkeo asichepuke akitoka Chuo mpige bao moja hata la kusimama
Asante.Wanatoa ndio
Elimu uliyonayo hajakusaidiaMzumbe wameshusha sana elimu ya Tanzania hasa Masters ya HR , yaani mzumbe Dar pale kama una mkeo anasoma aisee andika maumivu, kuna vivulana vinafanya mabenki na ofisi kubwa kubwa vinalba wake za watu kwenye Car Parking, aisee pale hapaa, Wanaume mnachapiwa wake zenu balaa na wake zenu wanalalamika wanatoa nje kwa kuwa nyie mnaishia chips mayai na kunwywa pombe usiku badala ya kubembeleza mamaa.
Ukitaka mkeo asichepuke akitoka Chuo mpige bao moja hata la kusimama