chief kasyupa
Member
- Mar 17, 2016
- 90
- 70
Usituharibie watoto tafadhali
Jifunze kuandika kwanza au wewe ni bodaboda hapo?
je huyobinti wa miaka 18 na bado anategemea wazazi ama walezi si mtoto? ila hilo sio shida shida ni kumvurugia masomo na nio maan wengi wanabeba mimba vyuoni na hivyo kuathiri usomaji wao!!! swali mwanao yuko chuo ama mdogo wako anakwambia nina mtoto na bado anasoma wewe ndiye unatoa mahitaji maana magu na ndali mikopo hakuna how wil they feel?
Ukafanye nini????kwa hiyo unashauri tuhamie mbeya??
Kuna watoto xanaDaah
Kuna watoto xana
Basi mkuu kuna mtoto ameingia mwaka wa tatu mweupe ana hips na ni mzuri sana hope utakua unamfaham anakaa darMimi ni mmoja wa majangiri ninaependa kuwinda kwenye hyo mbuga