Mzumbe Mbeya ni zaidi ya Mbuga

Mzumbe Mbeya ni zaidi ya Mbuga

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,377
Imekua ni mazoea kila mchana mda wa lunch break kazini kupata lunch pale maeneo ya mzumbe tawi la Mbeya,

wengi watakubaliana na mimi ile sehem ni Mbuga maana kila mnyama unaetamani kumona yupo, Yani pana sample za aina zote na uzuri vitoto vya pale ni 17 - 23 fresh from secondary, kila type ipo pale warefu, weusi, waliojaza, wwmbamba, weupe, wwnye hips, wasomali ,n.k, Uzuri ni kwamba wengi wale mwaka wa kwanza wanakuwaga kontena jipya ndio wanapata Uhuru kwa Mara ya kwanza maisha ni mwao, kuwateka akili ni rahisi sana.

Gia za kuwaendea hawa watoto ni simple sana, we omba namba ya wale waliotoka sekondari, baadae mtumie hata elf 2 ya vocha, kesho mpelekee vizawadi vya kawaida tu, hapo tayari ushamteka, hawana gharama sana kama dada zao wa mwaka wa pili au wa tatu wenye uzoefu wa mbinu za kupiga mizinga mirefu.,

MSISAHAU MIPIRA.
 
kudadeki mtoa mada nina mwanangu pale anasoma yaani nikisikia umemtafuna nakushusha kishipa cha makalio. Huwezi kuniharibia mwanangu pekee wa kike kipuuzi namna hiyo wakati mie nategemea aje kuwa kama Oprah Winfrey siku za mbele
 
Back
Top Bottom