Mzumbe full ma-holiday,,,mtakomajeeeeee!!!!

siansakala

Member
Aug 12, 2012
75
10
Nawapa polee sana mliochaguliwa MZUMBE UNIVERSITY,,,chuo hiki ni kizuri LAKIN likzo zao ni ndefu kichizi..mfano first year tulifunga mwezi wa 2 wamefungua mwezi wa 7 mwaka huu,,,afu 2nd year wamefunga mwezi huu wa 8 na wanafungua mwezi wa 2 mwaka 2013...UPO HAPO....kama huna sehemu ya kupigia tempo au job yoyote..LAZIMA UKAE....POLEEEEEEEEEEEEENI SANA..karibuni mzumbe.
 
hahahahaaha...sasa likizo miezi5 ukirud chuo c utakua umesahau hata kuandika!!! mzumbe polen sana....
 
pole sanah kama husomi mzumbe!!! kama vip apply tenah mwakani uje mzumbe ila uhakikishe umefaulu kuanzia DIV. 1 YA 3 mpaka div 1 ya 9! ..upo hapo?
 
Nawapa polee sana mliochaguliwa MZUMBE UNIVERSITY,,,chuo hiki ni kizuri LAKIN likzo zao ni ndefu kichizi..mfano first year tulifunga mwezi wa 2 wamefungua mwezi wa 7 mwaka huu,,,afu 2nd year wamefunga mwezi huu wa 8 na wanafungua mwezi wa 2 mwaka 2013...UPO HAPO....kama huna sehemu ya kupigia tempo au job yoyote..LAZIMA UKAE....POLEEEEEEEEEEEEENI SANA..karibuni mzumbe.

Kuhusu mwaka wa kwanza sababu ni upungufu wa mabweni.
Ila hapo kwenye red, hicho ni kitu kizuri sana na sio kwamba ni likizo. Likizo huanza mwezi wa August to October. From October to February ni kipindi cha field. Yaani unaenda kufanya field mpaka unajihisi ni mfanyakazi kabisa. Ni muda wa kupata uzoefu wa kutosha.
Trust me, you won't regret studying at Mzumbe University.
 
Back
Top Bottom