Mzuka Wampanda Baada ya Kufika Kileleni

Mzuka Wampanda Baada ya Kufika Kileleni

Kileleni raha asikwambie mtu 1413867207305.jpg
 
kufika uhuru peak si mchezo wazungu hamnazo kuna zingine utacheka kabisa
mie nilijikuta nalia machozi nilipofika kilelelni, hawa wameamua kuvua nguo ila ni hatari sana
 
kweli barafu imeisha kileleni, kweli enzi hizo mtu atadiriki kufanya hivi?
Wewe paoe tu kwamba hakuna barafu......kuna baridi hapo usiombe. kumbuka ni 5000+M above mean sea level.....baridi balaa, na presure difference ni kubwa usiombee.
 
Back
Top Bottom