nzeze mosie ulikuja ukiwa unapaa nadhani
Kileleni raha asikwambie mtuView attachment 195077
huyu hawezi KUFIKA KILELENIKileleni raha asikwambie mtuView attachment 195077
hapo ni kileleni mkuu
Heee kwa nini wanavua nguo?
Kuna vilele vingi kwenye kiswahili.
Mkuu walimalizana kivp wakati wote wanaume hapo?
Wewe paoe tu kwamba hakuna barafu......kuna baridi hapo usiombe. kumbuka ni 5000+M above mean sea level.....baridi balaa, na presure difference ni kubwa usiombee.kweli barafu imeisha kileleni, kweli enzi hizo mtu atadiriki kufanya hivi?
Ungesema: Baada ya kufika kileleni mwa mlima bana! Mimi nilielewa kitu tofauti kabisa!