de98
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 737
- 760
habari wanajamvi,
hii mada nimeamua kuileta kwenu maana naona kama imekua gumzo huku na kule,
hasa ukimkuta kijana wa zamani alie pata elimu huwa na kasumba za kuwananga (kuwabeza) vijana wa sasa iv 2010's kwa kusema kuwa,
1. Elimu tunayoipata mashuleni na hasa vyuoni haiko deep kama zamani
2. vijana hatujielewi nn tunafanya mashuleni na vyuoni (future yetu hatujui)
3. vijana tuna kalili na sio kuelewa
4. tunasoma kwa kufata mikumbo
5. tuna base na majibu ya juu juu hasa ya kutumia internet
kwako mwana JF huu mtazamo unauchukuliaje!,
karibu katika mada!
hii mada nimeamua kuileta kwenu maana naona kama imekua gumzo huku na kule,
hasa ukimkuta kijana wa zamani alie pata elimu huwa na kasumba za kuwananga (kuwabeza) vijana wa sasa iv 2010's kwa kusema kuwa,
1. Elimu tunayoipata mashuleni na hasa vyuoni haiko deep kama zamani
2. vijana hatujielewi nn tunafanya mashuleni na vyuoni (future yetu hatujui)
3. vijana tuna kalili na sio kuelewa
4. tunasoma kwa kufata mikumbo
5. tuna base na majibu ya juu juu hasa ya kutumia internet
kwako mwana JF huu mtazamo unauchukuliaje!,
karibu katika mada!