Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
- Thread starter
-
- #41
sijakataa kuacha hela ya matumizi bali ninachokataa kugawa pesa kwa mtu ambaye una hisi atakuja kua ur wife lakini anataka hela ambazo yeye mwenyewe hataki kuzitolea ufafanuzi wa kina ukitoa kesho unasikia story binti anajifagilia yule sipendi wala nini namlia viela vyake tuuu
Sasa kuna faida gani ya kuhonga alafu mwishowe unaambulia hapo!
hapo ushagonga sana mwisho unagundua dem anapenda pesa sana ndio unatupa kule
Aaah wapi, hela ya kutafuta kwa jasho lako ndo tamu zaidi kuliko hela ya kuhongwa!
Mgegedo wa kufukuza kuku mpaka unakamata kuku na kutolea mayonase kwa huyo ni mtamu kuliko mgegedo wa kuhonga!
hapo ushagonga sana mwisho unagundua dem anapenda pesa sana ndio unatupa kule
We piga kelele wenzio wanakusaidia kutunza hata maua yanahitaji kumwagiliwa maji
*************
Mkaka: Mambo?
Mdada: Mzushi wewe, sina hamu na wewe
Mkaka: Ooh pole, nisamehe
Mdada: *kimya...
hapo kwenye red mtu katoswa baada ya kukataa kuchunwa na mimi natoswaga hivyo hivyo
Sio wewe tu mbona hata mim nimeshakubali kutoswa design hiyoo freesh tu mpaka ntampata wa ukweli
Mie siwezi date mwanaume mwenye pesa za mawazo
me ndo staili yangu
Mie siwezi date mwanaume mwenye pesa za mawazo
Na yeye hawezi ku-date na mwanamke mwenye mawazo ya pesa.
Na manzi akiwa hakukubali unazisoma tu dalili aisee
Mdada: Mambo?
Mkaka: Poa, vipi hali?
Mdada: Safi, nina hali mbaya jamani
Mkaka: Kulikoni?
Mdada: Deki ya cd imeniharibikia, nimepeleka kwa fundi nimeambiwa mpaka nilipe 9,000!
Mkaka: Pole sana, peleka akatengeneze
Mdada: Aah na wewe, mi nilitegemea utaniwezesha...!
Mkaka: Kumbe shida yako ni hiyo!? Aisee dah nikipata chance ntakurushia kwa sasa simu haina hela imebaki kiduchu..!
Mdada: Lini?
Mkaka: Nikipata nafasi, kwa sasa niko busy kidogo
Mdada: Nasubiria hiyo hela
Mkaka: Poa haina mbaya...
Mdada: Nataka leo lakini kabla ya kesho
Mkaka: Ntaangalia
Mdada: Owky!
*************
Kimya kingi mkaka yupo busy na kujenga maisha hata nafasi ya kutafuta muda wa kuweka hela hana, kesho yake
*************
Mkaka: Mambo?
Mdada: Mzushi wewe, sina hamu na wewe
Mkaka: Ooh pole, nisamehe
Mdada: *kimya...
NOTE:
Mkaka hapo tayari keshaweka hela tayari anajianda amrushie lkn keshakumbana na sms ya namna hiyo, afanyeje?
Wapi mzabzab mada kama hizi lazima nione mchango wake
tatizo vijana wanataka k alafu hawataki kugharamikia. wewe kama mwanaume lazima ukubali kuwa papuchi zote unazoona mtaani zipo for sale...u just have to reach the asking price.
Hahahahahahahahahahahahahaha eti zipo for sale nimechekaje sasa hapa. Wanawake wengi wanapenda wapewe hela hata kama utamuona anayevunga anavunga tu ila ukweli rohoni anatamani angegharamiwa kwanza ndio atoe huduma. Watu wanauza privately and publicly (ndo hawa machangu wa mtaani). Wanaume hawataki huo ukweli. Ni ngumu kumesa ila ndio hivyo. Mie nimeamua kuwa sister kuepusha msongamano