Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Unashangaa Nini nipo serious
Unashangaa Nini nipo serious
Kwa msimamo huu, USHAPIGWA! Njoo kwa Yesu wewe, akuokoe uwe huru.Bahati mbaya mimi sio muumini wa hizi dini za kuletewa hivyo ni ngumu kupata msaada wa viongozi hawa (Naamin uwepo wa Mwenyezi Mungu basi)
Bonge la comment!Wapo watu. Huja katika maisha yetu mara moja tu. Wanakuwa wema sana. Wapendeka mno. Wana utu na ubinadamu. Hawana ajenda yo yote. Wanatujali sana bila kujali hali zetu. Wapenzi wa kweli. Wenza wetu halisi....
Lakini mara kwa mara watu hawa hutukuta tungali hatujakomaa kimitazamo na kimalimwengu nasi huishia kuwaumiza tu. Nao bila kuaga haooo hufunga virago vyao na kuondoka kimya kimya huku nyuma wakituachia mateso ya hisia na kumbukumbuku zenye kuumiza sana.
Cha kufanya pengine ni kujaribu kuiga upendo wao kwa wengine huko japo ni shida tupu kwa sababu tukishaachana nao mara nyingi tunaishia kupenda tusipopendwa. Ni Karma. Ni mateso....
Nisamehe mshikaji chuma changu cha Mjerumani. Nimekuumiza sana. Nimekutesa mno. Lakini tambua kuwa moyo huu ni uwanja wako...na unakaribishwa kuja kuchezamo mchezo wo wote uupendao na wakati wo wote uutakao. Na bila masharti yo yote. You are eternally loved BY ME !!!![]()
Hahah🤣🤣🤣Sijaona mzimu hapo.
Ila acha nisema golideni chansi neva kamu twaisi
Em ni dm KWANZA 😁Unashangaa Nini nipo serious
Nimepigwa mie ama wewe, Mungu yupo ila hizi dini sina imani nazo🏃🏃🏃Kwa msimamo huu, USHAPIGWA! Njoo kwa Yesu wewe, akuokoe uwe huru.
JESUS IS SAVIOR
Ulitakiwa ukataeNiliogopa kumuumiza kwa muda ule but sio kwamba hata nilimtegemea sana kipesa bali alikuwa anatoa tu mwenyew
Shukrani 🙏Ulitakiwa ukatae
Ili apate msg humhitaji
Heri kumkataa mtu mwanzoni kuliko kuwa nae
Ukiwahi hatokulaumu
Hajatumika wala hajapotezewa muda
😳Huyu mdada mm ndo mganga wake.![]()
Shukrani sana 🙏Ndio CodyBoy sio be a man hilo ni wenge tu
Shukrani sana 🙏Nilishapitia hii hali yako ,bahati mbaya Mimi naishi jirani nae Hadi leo hii ,ila hanipi hata salamu tukikutana njiani .
Nishamwomba Sana msamaha kwa yote lakin wapi bado ananinunia tu .
Imenitesa zaidi ya miaka miwili ivi .
Ila baadae nikaamua liwalo na liwe ngoja na Mimi nimfungie vioo tu jumla jumla ,ukapita mwaka Tena buyu buyu.
Zaidi saiz anawaulizia marafiki zangu km Nina mtu tayar au Sina pia naoa lini.
Ila huwez Amin niliteseka Sana juu yake maana nikikumbuka alivyonipenda ,nimekula pesa zake nyingi mno alafu nikaja mtema coz nilikua simuelew kiivo.
Ila kwasasa Nina Aman Tena psychology yangu iko sawa kabisa maana nilishamwomba msamaha Sana japo hakutaka kusamehe ,naishi na nimemsahau na najitahid Sana nisiwe naonana nae kabisa ingawa yeye njia yake Mara nyingi ni hapa kwangu ili nimwone lakin Sina huo muda Tena ndo ishaisha ivo.
hahaha sio wote tunaopiga vipapaiUshapigwa kipapai...
Huko Tanga ndo kwenyewe...
Wapo watu. Huja katika maisha yetu mara moja tu. Wanakuwa wema sana. Wapendeka mno. Wana utu na ubinadamu. Hawana ajenda yo yote. Wanatujali sana bila kujali hali zetu. Wapenzi wa kweli. Wenza wetu halisi....
Lakini mara kwa mara watu hawa hutukuta tungali hatujakomaa kimitazamo na kimalimwengu nasi huishia kuwaumiza tu. Nao bila kuaga haooo hufunga virago vyao na kuondoka kimya kimya huku nyuma wakituachia mateso ya hisia na kumbukumbuku zenye kuumiza sana.
Cha kufanya pengine ni kujaribu kuiga upendo wao kwa wengine huko japo ni shida tupu kwa sababu tukishaachana nao mara nyingi tunaishia kupenda tusipopendwa. Ni Karma. Ni mateso....
Nisamehe mshikaji chuma changu cha Mjerumani. Nimekuumiza sana. Nimekutesa mno. Lakini tambua kuwa moyo huu ni uwanja wako...na unakaribishwa kuja kuchezamo mchezo wo wote uupendao na wakati wo wote uutakao. Na bila masharti yo yote. You are eternally loved BY ME !!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
😀😀😀ilo kosa tumefanya wengi sana mke wa kuoa anatakiwa awe yule anayekukubali kinoma na wewe unamkubali hatari, na sio wa kutafuta ukubwani 😀😀eti watu wamekutana ukubwani miezi miwili tu then ndoa, mapenzi ni stages ndo maana wenzetu US na europe ata America utasikia mtu anasema kamuoa rafiki yake wa utotoni maana wenzetu upendo uanza wakiwa wadogo hadi utu uzima na mwisho kuoana, sasa waafrica unakuta wanafundishwa huongo kuhusu upendo , kwa mfano mimi level zangu za elimu kuanzia, primary , secondary nimekutana na mademu walikuwa wananikubali hatari ila mi nilikuwa nazngua kuwakwepa kwepa mwisho wakapotea wote 😪😪na sijabaki ata na mmoja na sahivi nakumbuka na kujuta nasema wale ndo walikuwa mmoja wao wa kuoa kama sio wote, sa hivi ndo karma inanusumbua hawajawahi tokea watu kama wale zaidi ya strangers tu na wasionipenda bali mimi ndo nawapenda,Ulibugi sana. Huyo ndiyo ulitakiwa umuoe sababu ungefurahia maisha sana.
Wanawake wenye upendo wa dhati wamebaki wa kumulika kwa tochi siku hizi.
Tupe maana ya vipapai KWANZA😎hahaha sio wote tunaopiga vipapai