Codeboy Breezy
Senior Member
- Nov 8, 2018
- 193
- 329
Naanza kwa masikitiko kuelezea kisa nilichikumbana nacho wakati nasoma pale chuo kikuu cha Dodoma (Udom).
Kuna mwanamke(msichana) tokea Tanga wilaya fulani hivi naihifadhi alitokea kunipenda sana, hivyo hakusita kuanza kunifanyia visa na viashiria mbalimbali Ili nimtongoze lakini kwa bahati mbaya sikufanya hivyo.
Alikuwa ananijali sana coz nakumbuka kuna kipindi wakati tumefungua chuo nilishindwa kurudi kwa wakati kwa sababu nilikuwa naumwa, nilivuta kama wiki 3½ hivi ndipo nikaenda chuoni sasa, kutokana na ugumu wa masuala ya ruhusa nk ambayo sikutaka sana coz nilihisi kama ningeambiwa niahirishe mwaka hivyo sikuomba ruhusa yoyote official isipokuwa nilitoa taarifa kwa mkuu wangu wa department.
Kipindi hicho chote, yule mwanamke alikuwa akinifanyia quiz mbalimbali zilizokuwa zinafanyika darasani pia alikuwa akinitumia hela ya matumizi. Baadae ikabidi aniambie ukweli kama ananipenda sana na nimpe jibu kama nipo tayari kuwa naye ama la but nisimwambie mtu yeyote.
Ili kukwepa kumuumiza ilibidi nikubali kwamba nampenda sana pia lkn kiuhalisia sikuwah kumpenda kimapenzi.
Tulikaa hivyo baadae nikapata nafuu nikarudi shule lkn tofauti na alivyotegemea sikuwa nikimjali kabisa wala kuonesha thamani yoyote kwangu.
Alivumilia kunutafuta, kunifuata nilipo nk but baadae ali give up, akaamua kuachana na mimi lkn akawa na chuki kubwa sana moyoni mwake dhidi yangu haswa akikumbuka matukio mbalimbali ambayo niliwahi kunifanyia likiwepo la kuhonga sweta lake alilonipa kwa msichana mwingine then nikasingizia limepigwa, hakumaind ila siku akaja kuliona kwa msichana ambaye alikuwa akiniona nae mara moja moja, alikasirika sana sana na akanitolea maneno makali sana.
Tulimaliza chuo maisha yakaendelea lkn mzimu wake ni kama unanitesa vibaya sana, juzi niliamua kumpigia simu na kumuomba msamaha kwa yote nilomkosea akaahidi alishanisamehe na sijawahi kumuudhi isipokuwa kwa lile tukio la kuhonga sweta lake tu.
NB: kuna mambo naona hayaendi sawa haswa upande wa mahusiano ndio maana nimeamua kuandika haya
#unayempendaHakupendiUsiyempendaAnakupenda🏃🏃🏃
Kuna mwanamke(msichana) tokea Tanga wilaya fulani hivi naihifadhi alitokea kunipenda sana, hivyo hakusita kuanza kunifanyia visa na viashiria mbalimbali Ili nimtongoze lakini kwa bahati mbaya sikufanya hivyo.
Alikuwa ananijali sana coz nakumbuka kuna kipindi wakati tumefungua chuo nilishindwa kurudi kwa wakati kwa sababu nilikuwa naumwa, nilivuta kama wiki 3½ hivi ndipo nikaenda chuoni sasa, kutokana na ugumu wa masuala ya ruhusa nk ambayo sikutaka sana coz nilihisi kama ningeambiwa niahirishe mwaka hivyo sikuomba ruhusa yoyote official isipokuwa nilitoa taarifa kwa mkuu wangu wa department.
Kipindi hicho chote, yule mwanamke alikuwa akinifanyia quiz mbalimbali zilizokuwa zinafanyika darasani pia alikuwa akinitumia hela ya matumizi. Baadae ikabidi aniambie ukweli kama ananipenda sana na nimpe jibu kama nipo tayari kuwa naye ama la but nisimwambie mtu yeyote.
Ili kukwepa kumuumiza ilibidi nikubali kwamba nampenda sana pia lkn kiuhalisia sikuwah kumpenda kimapenzi.
Tulikaa hivyo baadae nikapata nafuu nikarudi shule lkn tofauti na alivyotegemea sikuwa nikimjali kabisa wala kuonesha thamani yoyote kwangu.
Alivumilia kunutafuta, kunifuata nilipo nk but baadae ali give up, akaamua kuachana na mimi lkn akawa na chuki kubwa sana moyoni mwake dhidi yangu haswa akikumbuka matukio mbalimbali ambayo niliwahi kunifanyia likiwepo la kuhonga sweta lake alilonipa kwa msichana mwingine then nikasingizia limepigwa, hakumaind ila siku akaja kuliona kwa msichana ambaye alikuwa akiniona nae mara moja moja, alikasirika sana sana na akanitolea maneno makali sana.
Tulimaliza chuo maisha yakaendelea lkn mzimu wake ni kama unanitesa vibaya sana, juzi niliamua kumpigia simu na kumuomba msamaha kwa yote nilomkosea akaahidi alishanisamehe na sijawahi kumuudhi isipokuwa kwa lile tukio la kuhonga sweta lake tu.
NB: kuna mambo naona hayaendi sawa haswa upande wa mahusiano ndio maana nimeamua kuandika haya
#unayempendaHakupendiUsiyempendaAnakupenda🏃🏃🏃

