Dindilimunyo
Senior Member
- Sep 12, 2016
- 108
- 206
Wakuu habari nimekuwa naangalia tuzo za Mama Mtv leo. Tanzania ni nchi pekee iliyokuwa na wasanii6 kwenye hizo tuzo lakini cha ajabu tumekosa zotee! Nilicho jifunza mambo ya Team na u team fula mara team fulani yanagawa Kura kwa wasanii wetu! Mwishowe hatufanyinvizuri kwamfano kama Alikiba angehamasisha Watu wake wapige kura kwenye Category za Diamond ambazo yeye hashiriki na Diamond th same ange fanya hivyo tungeshinda! Nadhani sasa ni wakati wa vyombo vya habari nawatu wenye ushawishi mkubwa kumaliza hizi bifu za kijinga zinazo tushusha! Naomba kuwakilisha