ninao mzigo wote hapaSasa mimi nimefungua uzi wako kwa shauuuuku jubwa kutokana na kichwa cha habari chenyewe kumbe tena ni yale yale ya hapa kaz tu......aaah nyie bhana
Drop it bro tujue mbivu na mbichininao mzigo wote hapa
Haaapa naweza hema sasa drop mkuu ngoja nikalete popconninao mzigo wote hapa
Kilichopatika ni mzigo wa mawasiliano ya barua pepe na tangu miaka ya nyuma mpaka July 16Ni nakala zaidi ya laki tatu mzigo upo unatembea ambae ameshaipakua aitupie hapa waliitoa mapema Sana ila jamaa wakawafanyia umafia wa DDOS attack Kama ilivyotokea kwa jf kipindi kile hatimaye wabobezi wa WikiLeaks wameshinda Na mzigo upo hewani.
Mbivu na mbichi kujulikana.
Mi mwenyewe nautaman kichiz.. Mana niliskia kua eti yale mapindu mukulu wao ndo alipanga ilimradi kuzima cjui upinzani.. So ndo nataka nielewe huo mchezo ulikuaje
Rais wa uturuki, bw. Erdogan lazima aondoke
Wacha aendelee kucheza ujinga wake
Rais wa uturuki, bw. Erdogan lazima aondoke
Wacha aendelee kucheza ujinga wake
kutembea na watoto wa shule kuwapeleka picnicAmekosea nini? Au kwakuwa nchi yake imekuwa uchochoro wa wamagharibi kuelekea syria kujiunga na ISIS? Tatizo lake ni nini mkuu?
kutembea na watoto wa shule kuwapeleka picnic
Huu mchezo hautaki hasiraNingekuwa karibu nawewe ningekutwanga bakora