BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 4,229
- 5,261
Timu ya Simba kupitia ukurasa wake wa Twitter imetoa taarifa ya kuwasili mzigo wa jezi za timu hiyo kwa msimu 2023/24.
"Mzigo wa Jezi Mpya za msimu wa ligi 2023/24 tayari umewasili Tanzania tena wa kutosha na zitaanzwa kuuzwa mara tu baada ya kutambulishwa rasmi mwanzoni mwa Julai" Mwisho wa kunukuu.
"Mzigo wa Jezi Mpya za msimu wa ligi 2023/24 tayari umewasili Tanzania tena wa kutosha na zitaanzwa kuuzwa mara tu baada ya kutambulishwa rasmi mwanzoni mwa Julai" Mwisho wa kunukuu.