Mzee wetu Sitta na tamaa ya uspika

Mzee wetu Sitta na tamaa ya uspika

Nkondola acha ujuha usidhani wote wanaopinga CCM in ukawa hata wana CCM Na mambo ya kipumbavu ya CCM hatuyakubali
 
Huyu mzee naona hana haya. Laiti angejua mioyo ya watanzania ilivyonyongnyea kwa alichokifanya BMK!!? Asingerudi kuombs uspika.! Tumekosa hata mabadiliko tuliyotarajia nje ya ccm kwa ajili ya mzee huyu kutumia kodi yetu kubwa kwa posho za BMK na ikaishia kama kibatari kilichodondoka kwenye maji. Tumeenda uchaguzini bila katiba mpya, bila tume huru mradi tu mzee huyu alinde maslahi yasiyokuwa na tija kitaifa na matokeo yake tunayaona Zanzibar! Bara watu wavumilivu. Eti leo anaomba uspika!!!? Si ofisi anayo nyumbani alishajenga kwa kodi yetu si akae na bahati mama ni mbunge basi aendeshe bunge la nyumbani kwake si la watanzania.
 
Huyu Mzee Sitta hafai hafai kabisa kuwa spika miaka 72 mbona kachoka? Apishe vijana
 
Back
Top Bottom