Haahhaha mtihani wa kwanza itakuwa kuvuka kiunzi cha kura za maoni kwenye chama chake. Maana kuna mjaluo mmoja ambaye ni mpambe wake (jina kapuni ) hujimasibu kuwa wasira katumwa na wakubwa aende kugombe jimboni humo.
Naona mwezi huu umeamua kupeleka njaa kwa huyo dada!Wana jamvi naomba kuuliza mzee wetu Stephen Wasira yupo wapi mzee aliye itabiria cdm kufutika ktk siasa za tanzania mwaka 2014?
Nasikia baada ya kugaragazwa pale bunda aliamua kuwa mfugaji maarufu wa mbuzi huku akiisikia cdm inavyo chanja mbunga!
Amakweli dunia hii ni uwanja wa fujo. View attachment 1214570
Njaa inamsumbua huyu kijana ndie alikuwa mramba viatu vya lowassa!Vizuri sana kama ana biashara ya mifugo pia. Na hakukosea chama chenu kinazidi kujifukia ndani ya futi sita.
Acha wivu.. kufuga ni dili kubwa tu.. wewe kaa ulie lie juu ya kuwa mfata mkumbo
Wana jamvi naomba kuuliza mzee wetu Stephen Wasira yupo wapi mzee aliye itabiria cdm kufutika ktk siasa za tanzania mwaka 2014?
Nasikia baada ya kugaragazwa pale bunda aliamua kuwa mfugaji maarufu wa mbuzi huku akiisikia CHADEMA inavyochanja mbunga!
Amakweli dunia hii ni uwanja wa fujo. View attachment 1214570
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi wewe endelea kumtunza mwana wa kichina hapo ilala bomaVizuri sana kama ana biashara ya mifugo pia. Na hakukosea chama chenu kinazidi kujifukia ndani ya futi sita.
Acha wivu.. kufuga ni dili kubwa tu.. wewe kaa ulie lie juu ya kuwa mfata mkumbo
Siasa ni biashara mkuuHawa watu ndiyo wanao turudisha miaka ya 80
Kwa sasa naona akili itakuwa inazidi kuporomokaYupo anasikilizia mpambano kati ya vijana wanaotumiwa kukisambalatisha cdm kwa jicho la tatu. Akina Kigogo Abdul Nondo na Kumbusho
Wakitumwa na kabwe
Nae ataibuka kumalizia maneno ya wmisho ya hekma
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daa jamani nawe ikizeeka utakuwa hivyo haaa haaa