Mzee WASIRA nae kuhojiwa

Mzee WASIRA nae kuhojiwa

katalina

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
262
Reaction score
56
Sijaelewa, hivi huyu mzee nae kaishatanza kuwania nafasi ya ukubwa wa nchi. Uhusika wake ukoje mpaka na yeye ahojiwe. Mwenye majibu tafadhali.
 
Kwanza umemkosea adabu kwa kumuita Stephen mzee. mwombe msamaha kijana wa watu ndio tuendelee
 
Kwanza umemkosea adabu kwa kumuita Stephen mzee. mwombe msamaha kijana wa watu ndio tuendelee

Sijui kama umenielewa; kwa umri wake Stephen Wasira anastahili kupewa heshima ya Uzee. Kwa hiyo kumwita Mzee Wasira, nimemheshimu sana labda kama wewe ndo hukuelewa kwa kudhani hata neno 'Mzee' ni jina lake.
 
Kwanza umemkosea adabu kwa kumuita Stephen mzee. mwombe msamaha kijana wa watu ndio tuendelee

1566928_You_dont_have_sense_jpg9455687e42345c4dd492d9dc6d9123de


Au umekurupuka?
 
Sijui kama umenielewa; kwa umri wake Stephen Wasira anastahili kupewa heshima ya Uzee. Kwa hiyo kumwita Mzee Wasira, nimemheshimu sana labda kama wewe ndo hukuelewa kwa kudhani hata neno 'Mzee' ni jina lake.

Angalia nywele zake zilivyo nyeusi huyu handsome future president kutoka Mara. sidhani kama amefika miaka arobaini na tano.
 
Back
Top Bottom