Kwanza umemkosea adabu kwa kumuita Stephen mzee. mwombe msamaha kijana wa watu ndio tuendelee
Kwanza umemkosea adabu kwa kumuita Stephen mzee. mwombe msamaha kijana wa watu ndio tuendelee
Sijui kama umenielewa; kwa umri wake Stephen Wasira anastahili kupewa heshima ya Uzee. Kwa hiyo kumwita Mzee Wasira, nimemheshimu sana labda kama wewe ndo hukuelewa kwa kudhani hata neno 'Mzee' ni jina lake.